Search results

  1. M

    Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

    Wananchi wanaotumia Bima ya Afya ya NHIF kukosa huduma ya dawa mahospitalini, barabara za maeneo mengi ya miji mbovu, watendaji wa serikalikukwapua pesa za umma na kujilimbikizia mali
  2. M

    Nani Karuhusu Waturuki kufanya umachinga wa kukopesha vyombo vya umeme mitaani? TBS na FCC mnayajua haya?

    Watanzania si wabunifu halafu ni wavivu wa kufanya kazi, wacha Waturuki wapige kazi. Kama tatizo ni la ukaguzi basi lawama ni mamlaka zetu ambazo zimeoza maana zinaongozwa na wezi wa mitihani ya kidato cha nne 1998.
  3. M

    Barabara za mitaani kuamua uchaguzi wa serikali za mitaa 2024

    Mbona umewatetea kwamba mvua ndo ilikuwa kikwazo wakati mitaa mingine barabara ni mbovu tu hata kama hakuna mvua
  4. M

    Ni aibu kwa Serikali kwa Mashirika ya Umma karibu yote kupata hasara

    Awamu hii ya sita Zitto Kabwe hatumsikii au hasara hizi hazioni?
  5. M

    Nchi ya ovyo, viongozi wateule hata wakiulizwa salamu tu lazima wamshukuru na kumsifia Samia

    Namshukuru mama Samia kwa kunipa mke mzuri utadhani ndo alimtolea mahari
  6. M

    Hongereni Wabunge kujipandishia mishahara huku Watumishi wa Umma wakiishi kwa mshahara kiduchu

    Mama anamfuta machozi kila Mtanzania. Endelea kuupiga mwingi mama
  7. M

    Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

    Akwende zake huko, kwani hayo ndo mahitaji ya wanyonge wa nchi hii? Fisadi tu zitto hana lolote
  8. M

    Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

    Hizo ni tabia za Kisambaa kujumuisha Wasambaa wote kwenye jambo fulani, jisemee wewe kama wewe na siyo JF
  9. M

    Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

    Kwa hiyo unatupa taarifa ya kuitwa kwa Mh. Gambo au unaleta masimango dhidi yake?
  10. M

    Nchi ikiongozwa na mtu kama Rais Samia lazima watu wake wawe na furaha na biashara zitashamiri kama ilivyo sasa

    Utakuwaje na furaha wakati huna kila kitu halafu wanafaidi wengine kwa wizi? Majizi ndo yana furaha
  11. M

    Yusuph Makamba: Hayati Mwinyi ni hazina ya Mwenyezi Mungu kwa nchi yetu

    Wazuri hawafi bali wabayo ndo wanaokufa, hiyo ndo kauli tunaishi nayo
  12. M

    DOKEZO Wananchi hatumtaki Mjumbe wa Mbezi Msumi (Dar), anatumia madaraka yake vibaya

    Pelekeni upuuzi wenu huko, mnatuletea habari ya Mjumbe wa Shina inatuhusu nini sisi Wananchi ambao si wana CCM?
  13. M

    Toka Dotto Biteko ateuliwe kuwa Naibu Waziri Mkuu, amefanya maajabu gani kwenye cheo hicho?

    Binafsi naona kafanya maajabu makubwa sana ya kuwa na msafara mkubwa wa magari na mitutu ya bunduki, lakini pia kuongeza gharama za Serikali
  14. M

    Dkt. Biteko: Uharibifu wa Mazingira unachangia ukosefu wa umeme

    Haya mafyriko yanayotukumba ni amfurika ya maji au ya tope kama Kartesh?
  15. M

    Mbowe hawezi kukwepa lawama za kukosa adabu na kutukana matusi ya nguoni kunakofanywa na vijana wake wa CHADEMA

    Unatuchosha na mkeke mreeefu, weka hapa hayo matusi wanayotukana siyo kutuletea hadithi.
  16. M

    Inasikitisha sana kuona baadhi ya hospitali binafsi ambazo ni PENDWA zinagomea kutoa huduma

    Nilitegemea Serikali kutoa tamko la maana kumbe wakatoa tamko la kitoto kabisa. Serikali iache kuzikandamiza Hospitali kwa kigezo cha huduma, wanatakiwa kutafuta ufumbuzi wa suala hilo maana NHIF imepigwa na wao wenyewe halafu leo wanataka kubebesha mzigo Hospitali.
  17. M

    Suala la mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar wala lisifanywe la kisiasa, pitieni hapa msome muelewe sababu

    Nikajua unajua kumbe unahisi. Hao unaowasema watoto wake ikiwa ni pamoja na Rais wa Zanzibar Dr. Mwinyi, aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mbona hakutengwa kwa vile ni Mzanzibar? Mkuranga ndo kwao hayo mengine ya Mzee Ruksa kuzikwa Zanzibar ni ya kutafuta uhalali wa kisiasa wa Dr. Mwinyi.
Back
Top Bottom