Aise ni afadhari ungekua MJINGA maana ukielimishwa utaelimika lakini wewe upo kwenye kundi la WAPUMBAVU hata iweje tufunge tuzikiri huwezi kuelimika. Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
maneno ya JPM baada ya kumuapisha mama Mgihrwa kua mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro Nukuu " Wakati nagombea Urais Nilinadi na Kutangaza sera za CCM hivyo Nenda katumikie sera za CCM. " mwisho Wa Nukuu. Tafsiri rahisi ni kwamba unatumikia sera za chama unachopingana nacho hivyo ni usaliti kwa...
Tena wenye elimu ya kawaida ndio wengi wenye mafanikio Kwenye kila nyanja Kiuchumi wengi wao wako byee kiasi chake, Family zao ziko sawa hawayumbishwi na dunia. Lakini kusoma sana ni kuzuri endapo msomi huyo atapata kile alichokua anakitafuta wakati wa masomo yake, shida itakuja pale...
Huko zilipendwa niliamini kwamba ELIMU ya Tanzania haijamuandaa kijana kujiajiri hata yule aliyeweza kuhitimu kidato cha 6. Lakini sasa nimebaini kwamba waathirika sio hao tu kumbe na wale wote wanaojiita wasomi sijui madoctors na maprofesas ndio kama huyo dkt Sigalla na wenzake wameshindwa...
Inategemea serikali yako imeweka vipaumbele Kwenye nini
Inawezekana mnyama kama Faru akawa muhimu zaidi kuliko huyo huyo engineer na hao wahasibu wako.
Hajalalamika ila amehoji kwa serikali kuwa wazi zaidi linapokuja swala la matumizi ya pesa ya uma. Kimsingi mm pia inanipa shida kuelewa ni kwanini miradi kama hii haipelekwi bungeni? Ikajadiliwa na hatimae mambo yasipoenda sawa bunge liwe na nguvu ya hoji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.