Wataalamu wa lugha ya Kiswahili njoon huku mtujuze kuhusu hiyo ISTILAHI "KIFYONZEO" maana mie nimebaki kizani [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji28] [emoji3] [emoji3]
Habari wana JF,
Hivi umewahi kukutana na swali hilo toka kwa mpenzio? Na je pana changamoto yoyote kati ya wawili wapendanao sababu ya kabila la mmoja wao?
Tushirikishane uzoefu na kama uko miongoni mwa walokutwa na kadhia hiyo, tushirikishe namna ulivyokabiliana nayo.
Ni siku nyingine tena tuliiiiiivu, twamshukuru tena Mungu wetu kwa uzima, pia mibaraka yake ...
Japo mie si mpenzi wa "tattoos" nowadays jambo hilo limezidi kushika kasi hasa kwa wasanii na "celebrities" walo wengi.
Picha katika majarida mbalimbali na hata, news, celebrities' websites nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.