Mtaongea sanaaa lkn malipo ni hapa hapa...nyie endeleeni kusifia.. siku ya kujuta ujue inakuja... na jinsi karma ilivyo hufi hadi umelipwa ubaya wako..
anae tangaza mshindi ni nani!?? mara ngapi hawa makada wanatangaza matokeo feki!?? acha porojo, ukishakuwa na vyama vingin lazma kuwe na fair grounds kwa wote, huwezi weka msimamizi wa nchechemee afu atangaze cdm kashinda wakati bosi wake kashasema hataki hilo.. mmeyataka wenyewe...
Nyie ndo mnaopotosha umma, kwa hyo kilichoandikwa hapa kinatoa uhalali wa mtu kutekwa!??kuumizwa au kuuawa!?? Kwani mahakama ziliwekwa kwa ajili ya nn??? Aliona katukanwa au kadhalilishwa si ilitakiwa aende mahakamani.!??? Jifunzeni kujenga mantiki.. mambo haya sio mazuri kwenye jamii yanajenga...
Acha kudanganya watanzania, hakuna kitu km hichi duniani... yeyote anaetaka ndege kununua anakwenda kwa mtengenezaji..period... hili la kuwaambia watu eti mtengenezaji ana makubaliano na mteja juu ya ukodishaji ni UONGO mkubwa.... suala la kukodisha ni la mteja pekeee, hakuna wa kuingilia...
Kajifunze historia chezea vyote lk usicheze na uhuru wa watu, dk sifuri tu kazi ya miaka 100 inakwisha...wp sadam, hitla muzolini..gadafi..and the list goes on, watu watatulia kwa muda tu wakirauka yooooote mnayojisifia nayo wanayaweka chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.