Kuna Band ilikuwa inatwa Frank na Dada zake ikiwa na maskani yake mjini Moshi. Waliimba nyimbo mbalimbali ikiwemo maarufu iitwayo: "TUFURAHI KWANI LEO HARUSI" Nadhani bila shaka ilikuwa ya hawa kina Frank Humplink.
Marhum Ford huyu alikuwa anapenda Starehe enzi za Late 70es to Early 80... Mtoto wake wa kumzaa anaitwa WABOGOJO kwenye video za Mr.Nice alikuwa anajikunja kunja alikuwa Monaco hivi karibuni yaani maisha yapo njema... Marhum Ford ameacha Ghorofa moja jembamba la Floor 2, ukiwa unatokea Mabatini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.