My dear, mwanaume akikuchoka anatafuta kila sababu ya kutokea. Kama nimekuelewa umeandika kuwa jina mlikubaliana kabla, ila baadae ndio amekuja geuka. Huyo amepata mwingine huko aliko ndio katafuta sababu ya kukuacha,,, Mpigie simu jaribu kuongea nae kuwa angependa mtoto aitwe nani, ukona hana...
Pole sana kwa yaliyokukuta, Mungu wetu ni mwaminifu hili litapita na utashangaa. Mtangulize Mungu katika maisha yako, mlee mtoto wako kwa furaha msahau, malipo ni hapahapa duniani, dunia itamfundisha. Soma Zaburi 23
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.