Ndugu zangu wana body, poleni kwa mihangaiko katika kujenga nchi yetu ya Tanzania. Mimi nina degree ya elimu(Bachelor of Education Languages) na kwa sasa ni Mwalimu, natamani kusoma masters lakini ya fani nyingine tofauti na Education na kwa nature ya kazi zetu sina option ya kusoma chuo kikuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.