HAPANA
Maji yanayotoka kuanzia mito na mifereji mikubwa kuanzia Namanga, Longido, Ngaramtoni, Mianzini, Themi, nenda mpaka mto Weruweru, njia panda kule mpaka Marangu na Rombo maji yote hayo yanaenda Bwawa la Nyumba ya Mungu kisha yanapita Mto Ruvu then Pangani na mwishoe Bahari ya Hindi
CRY MORE Mandunduka...🤣🤣🤣
Yanga inashinda kwasababu ina wachezaji wa viwango vikubwa, wana juhudi, bidii na mbinu, nyie endeleeni kulia
"DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO"
Waisrael kwenye ubalozi wa Iran Syria waliua watu 8 akiwepo kiongozi mkubwa sana wa Jeshi la Iran
Hayo makombora ya Iran yameua wanajeshi au raia wangapi huko Tel Aviv?
Iko hivi
Watu wa Kaskazini hususan Wakristo huwa wana Desturi ya kuwakumbuka Wazee wao waliofanya mambo makubwa yaliyogusa maisha yao
Usishangae hata wazee wa kule walio hai huwa wanafanya mpaka Aniversary ya ndoa zao na wanakaribisha wageni wengi tu na chakula cha kutosha kinapikwa sembuse...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.