Kuanzia $ 30k mpaka $36K inategemeana na namba za seat na features maana kuna 5 seats na 7 seats kibongo bongo kama mil 70 -mil 85. Tusubiri tu used kuanzia 2024
Kwa maelezo yao wamechukua vitu ambavyo soko limeipenda kuhusu Nissan Xtrail na mitsubish wakaviunganisha pamoja. Kwenye hilo gari utakuta technolojia ya Nissan, Mitusubish na renault. Ngoja tulipe muda lituonyeshe yaliyomo yamo au chenga
Unajua ukiumwa na Nyoka hata jani likikugusa unashtuka. Kampuni ya Mitsubishi imekuwa na skenda kubwa mbili ambazo zilisababisha wateja wengi kukimbia na kusababisha kushuka kwa mauzo mpaka kufikia hatua ya kufunga baadhi ya Production plants zake za Marekani na Asia.
1/ Mitsubishi Electric...
Kati ya SUV kali aliyotoa Mitsubish hi hii mitsubishi outlander 2022
Mwaka 2016, Nissan-Renault Alliance walinunua share ya Mitsubishi kwa 34% wakiwa wamiliki wenye hisa kubwa kwenye Kampuni ya Mitsubishi. Nissan walinunua baada ya ile skendo kubwa ya fuel economy scandal, ambayo Kampuni ya...
Baadhi ya majimbo ya ukrain yanatarajia kupiga kura ya kujiunga na urussi na kujitoa ukraine. Sasa rasmi ukraini igawanyika nchi mbili kama korea. Majimboa haya nadhani ni yale ambayo hayavamiwa na Russia
Taarifa toka Ukraine...naona mashambulizi ya anga ya Urusi yamezidi..Rais Zelensky anaomba msaada wa ndege vita na tanks...hii imekusa siku moja baada ya mashambulizi ya yaliyofanya na Russia kwenye Air defence system za Ukraini. Hata hivyo slovania imepelekea S300 ukraine ili iweze kupambana na...
Hii vita propaganda nyingi na watu wengi washekuwa brainwashed, na leo shehena za siraha zimepokelewa Ukraine. Kunawatu wanachochea hii vita isiishe. Sasa dunia imekuwa vipande 2 pro Russia na Pro Ukraine (NATO)
▫️Units of the Russian Armed Forces are fighting for the capture of Novomikhailovka.
▫️During the day's fighting, more than 30 servicemen of the Ukrainian Armed Forces of 54th Mechanised Brigade, 6 armoured vehicles and 2 field artillery mounts of 46th Separate Assault Battalion were...
Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi.
Sasa Urussi...
Commanding post ya Jeshi la ukraine mjini kyieve yenye wanajeshi wengi maafisa yajisalimisha kwa majeshi ya urusi. Wanajeshi hao 61, wamepatiwa huduma muhimu, kama chakula na matibabu toka kwa jeshi la urussi. Inasemekana wamejisalimisha baada ya kuishiwa chakula, risasi na siraha, hii ni moja...
Nimeangalia nimekuta ninaadeni la elf 20, na nyingine elfu 2 gar moja. Hata sijui zimetoke wapi. Yaani mti anakulima parking fee kimya kimya. Inabidi mfumo wao wanyeshe ni lini na wapi. Mi ili deni hata sijui limetoka wapi?
Inasemekama huyu jamaa anahela toka zamani, kabla hajaingia kwenye siasa kama alivyo yule mbunge msukuma...hela za madini kama sijakosea. Ukumbuke ndie anaemiliki team ya Gwambina Fc.
Inasemekana ila sina uhakika(nachukulia kama tetesi), kuna dereva aliniambia kwamba vigamuzi vimesitishwa, wenye mabasi walifungua shauli kuwa vigamuzi vinal
eta shot kwenye mabasi yao, hasa vikipiga kelele kwa muda mrefu vinaheat mwishoe vinaungua. Sina uhakika ila ndio nimesikia hivyo ndio...
hiyo Hapo mkuu, bandol lako tu
https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-wapenzi-wa-riwaya-za-kiswahili-mzigo-wa-mkimbizi-wa-ndugu-yetu-tuwa-huu-hapa.846722/page-13
Namba ya Gar ya Mkurugenzi wa Halmashauri ni SM.... Wewe katika coment yako umesema magari ya wakurugenzi ni hizo plate number nyeuzi na namba za herufi (kama za singapore) kama ulikuta mkurugenzi alitumia hiyo plate number labda kipindi cha uchaguzi kwa sababu za usalama. Ila number rasmi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.