Nnavyomjua dogo kiduku wa NK hii habari ya BURERVESTINIC ameshaipata na ameshavurugwa sidhani kama mwaka utaisha hajaenda tena Moscow.Yaani habari za ๐ na Nukes zinamtia sana mzuka
Kweli njaa haina baunsa na nikweli adui yako muombee njaa tu,ZELE utapia mlo unamuhusu.Sasa kama wao ni vidume si watumie nguvu au wanaogopa kitu gani?
Kuku anapulizwa na upepo kwahiyo sehemu za siri lazima zionekane,yaani sasa hivi usipokubali USA ๐บ๐ธ na Nato ni wauaji na waporaji peponi huingii ng'oo
Yaani kama alivyoingia chui wa Facebook kumkamata Ngiri,ila kilichomkuta chui alivyoingiza kichwa kumtoa Ngiri shimoni alijuta.Hii ni vita kati Mungu na Shetani
Hii hali ya ukimya ndio inayowaogopesha Upinde,maana wamestuka kwamba Mwamba PUTIN anachekea chooni.Yaani wakithubutu tu basi moto utawashwa kutokea kwa mjomba LUKASHENKO kule Belarus ๐ง๐พ
Zele akirudi Kiev niiteni Ubwa nimekaa paleeeeee!
Mpaka May 20 mwakani watu tunafanya usafi ili tuwajengee watoto shule wasome
๐๐๐๐๐๐๐๐
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.