Ni kweli serikali haikumtuma RC Makonda, na vita dhidi ya ushoga serikali haitambui. Rc Makonda kwa kufanya anavyofanya yumo ndani ya sheria na zipo baadhi ya sheria ambazo kimsingi zinakinzana na Haki za Binadamu.Cha maana anachokifanya RC Makonda ni kunusuruwatoto wa kike na kiume katika janga...
Asnte kwa somo zuri my dear epert. Mungu akujalie kwa ukarimu,natumaini unafahamu fika uchoyo haulipi.Thanks to jamii forum too.Nimepata ujuzi bila malipo.
wapenzi wa jamii forum,mnajua, kila aliyefika kuhesabu kumi lazima kaanza moja.Jifunzeni kwa makini ni rahisi sana kutumia jamii forum,kubwa zaidi ipo hata kwenye lugha yetu ya kiswahili.Tujitahidi kusoma kwa kuzingatia na kufuata maelekezo, tutaelewa vyema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.