Search results

  1. anonymousafrica

    Tarehe 2 Februari mwaka 1971 Idd Amini alijitangaza kuwa Rais wa Uganda

    Siku kama ya leo mwaka 1971, jitu la Miraba minne Idd Amin alijitangaza kuwa Rais wa nchi ya Uganda na hii ni baada ya kugutuka kwamba Milton Obote alikuwa akipanga kumkamata kwa matumizi mabaya ya fedha za jeshi, Awali, Amin alichukua mamlaka kwa kufanya mapinduzi ya kijeshi tarehe 25 Januari...
  2. anonymousafrica

    Nas ajifananisha yeye, Biggie na Jay Z ni sawa na J Cole, Drake na Kendrick Lamar, kwenye album yake ya Magic. Awakumbuka na Wu Tang Clan

    Kwa wasiofuatilia wanaweza kudhani Msuguano baina ya Nas na Jay Z unaendelea lakini nikuambie tu ya kuwa mtafaruk wao ulishakwisha zamani sana. Awali familia zao zilihusishwa kwenye michano na mwisho wakaamua kukaa chini na kuyajenga. Wakashirikishana kwenye nyimbo baadhi na hivi majuzi...
  3. anonymousafrica

    Nas ajifananisha yeye, Biggie na Jay Z ni sawa na J Cole, Drake na Kendrick Lamar, kwenye album yake ya Magic. Awakumbuka na Wu Tang Clan

    Kwa wasiofuatilia wanaweza kudhani Msuguano baina ya Nas na Jay Z unaendelea lakini nikuambie tu ya kuwa mtafaruk wao ulishakwisha zamani sana. Awali familia zao zilihusishwa kwenye michano na mwisho wakaamua kukaa chini na kuyajenga. Wakashirikishana kwenye nyimbo baadhi na hivi majuzi...
  4. anonymousafrica

    Je, wajua tarehe 5 Februari mwaka 1977 ni Siku iliyobeba matukio matatu ya kufurahisha na kuhuzunisha?

    Tarehe 05 mwezi Februari mwaka 1997 ilikuwa siku muhimu yenye matukio ya kufurahisha na kuhuzunisha. Kabla haujayapitia hayo matukio matatu, Kumbuka siku hii chama cha TANU na ASP viliungana na kuunda Chama cha Mapinduzi (CCM). Lakini 1. ASP ilikuwa inatimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake na...
  5. anonymousafrica

    Tafaadhali, Nicheck ukihitaji huduma ya muundo wa picture (Graphic Design), Video Lyrics/spectrum na Subtitles

    Hellow, r u fine? Tafaadhali Nicheck ukihitaji huduma ya muundo wa picture (Graphic Design) Karibu kwa -Visual identity Logo, Business Card, ID (Nembo, Utambulisho wa biashara, Kitambulisho) -Marketing materials Flyers, Brochures, Postcards, Posters Packages. (Vipeperushi Aina zote na...
  6. anonymousafrica

    N'golo Kante: Toka kuzoa taka mitaani hadi kuwa mchezaji bora anayetegemewa

    Ng'olo Kante, alitamani kombe la dunia lichezwe nchini Ufaransa kila mwaka, kwasababu mwaka 1998, alifanikiwa kuzoa taka nyingi kuliko miaka yake yooote ya kuzoa taka mitaani. Kante alizaliwa Machi 29, 1991, huko mjini Paris nchiniUfaransa. Wazazi wake walikuwa wahamiaji kutoka nchini Mali...
  7. anonymousafrica

    Hatimaye Mahasimu wa Muda Mrefu Jay Z na Nas wamekutana tena kwenye Album ya Dj Khaleed

    Wimbo unaitwa SORRY NOT SORRY. Mpaka sasa nimeskiliza kipande cha Nas tu, navuta pumzi nimsikilize Jay. Licha ya bifu lao au mgongano kuisha toka miaka ya 2006 lakini hadi leo hii, wapenzi wa utamaduni na muziki wa Hip Hop hawaishi kuongelea msuguano huu uliotokea kwenye Album ya Nas...
  8. anonymousafrica

    Mfahamu J. Edgar Hoover, Mkurugenzi wa FBI Tishio la Wahalifu na Viongozi Wakubwa

    Watu walikuwa smart na wababe, mtu anayeogopwa na Rais na vyombo vyote vya dola huyo sio wa mchezomchezo. Umewahi kuwaza ni namna gani vitengo vya usalama vinamtambua mtu kwa kutumia alama za vidole?, basi haya yote yasingekuwepo bila ya mtu aliyeitwa Edgar Hoover Edgar Hoover Me napenda...
  9. anonymousafrica

    Fahamu ugomvi wa Leonardo Da Vinci na Michelangelo kwa ufupi

    Ni mpenzi wa sanaa au watu mashuhuri waliowahi kuishi na kufanya mambo makubwa hapo zamani? kama ndivyo jina la Leonardo Da Vinci na Michelangelo si mageni kwako. Sikumoja Leonardo alikuwa na Rafiki yake Giovana di Gavina. Walikuwa wanapita maeneo Fulani ya bank ya Spain karibu na kanisa la...
  10. anonymousafrica

    Bifu la Eminem na Snoop Dogg

    Au niite mgongano (maana halijawa bifu 100%, ila nadhani nimeeleweka kwa huo msamiati) Mwaka jana mwishoni kumeibuka msuguano (kutoelewana) kati ya snoop dogg na Eminem. Kumbuka hawa jamaa wamekuwa karibu kwa mda mrefu bila kusahau wanaunganishwa na Dr Dree (wote ni watu wa karibu na dree na...
  11. anonymousafrica

    Siku njema ya kuzaliwa kwa Bill Clinton, UJIO WAKE Tanzania na gumzo la chupa ya maji

    Siku njema ya kuzaliwa kwa Billclinton SIJASOMA KITABU CHA MZEE MKAPA, ILA HILI SIDHANI KAMA HILI LIMEANDIKWA. Twende pamoja kwa haya machache na mwisho uone mbwembwe za mwandishi wa habari huko AICC😄 Kama haujui, wanasema Bill Clinton ndiye rais mwenye IQ kubwa kuwahi kutokea nchini...
  12. anonymousafrica

    Huwezi kimbia kifo, alitoroka hukumu ya kifo akafa kwa kipigo bar

    Georgia, Marekani, hili ndilo tulio la kwanza kwa mtu aliyehukumiwa kifo kutoroka gerezani. Alitoroka siku moja kabla ya hukumu yake ya kifo. Bahati mbaya mtu huyo, alifariki kesho yake kwenye ugomvi uliotokea BAR Troy Leon Gregg alizaliwa April 22, mwaka 1948 na kufariki July 29 mwaka 1980...
  13. anonymousafrica

    Jinsi lugha ya Kilatini ilivyokufa

    Kwasasa imekua lugha inayotumika kwenye mambo maalumu tu, je kuna ubaya nikisema hii lugha imekufa?, kama ulikua hujui kuwa lugha inakufa ndio ujue leo, wataalam wa lugha wanaweza kuelezea lugha inakufa vipi. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa historia, najua haukuwepo ila unatambua jinsi utawala wa...
  14. anonymousafrica

    JAY Z: Malumbano ya familia/ Kumpiga kaka yake RISASI / Usaliti kwa Beyonce/ Msamaha na Funzo kwa mabaharia wote

    Nampenda Jay kwasababu anaimba na kuandika maisha yake halisi. Ukisikiliza nyimbo yake ya You Must Love Me na Kill jayz, amewahi kutaja kisa cha kumpiga risasi kaka yake, akiwa na umri wa miaka 12. Walipitia maisha magumu na familia yake na ni msimu ambao hata baba yake aliitelekeza familia...
  15. anonymousafrica

    Ugonjwa wa kucheka, Pseudobulbar Affect, / PBA kwa walioitazama na wasioitazama movie ya Joker tujuzane hili

    Joker au jokeri, wacheza karata wanampenda na wanamwogopa, akikulalia huyu unahesabiwa una 50, kwenye adhabu unamlambisha mtu 5. Tuachane na huyu Joker anayejulikana kwa jina la Arthur Fleck (jina halisi Joaquin Phoenix) kupitia movie ya JOKER 2019 na movie zingine nyingi zinazomuonyesha kuwa...
  16. anonymousafrica

    Kukua na kusambaratishwa kwa Chama Cha Black panthers na FBI, Pia wafahamu baadhi yao waliokimbilia Tanzania

    ACHANA NA BLACK PANTHER WALE PAKA Au movie ya Wakanda Leo nakupa historia/ machache kuhusu chama cha Black Panthers.... walioishi kwa falsafa za Malcom X na kusambaratishwa kwa Hila za FBI Kama unaikumbuka historia ya tupac na Mama yake Afeni Shakur Afeni alikua mwanajumuia wa Black Panther...
  17. anonymousafrica

    MAREKANI: Kifo Cha Malcom X na Kufukuzwa kwenye Chama Cha Umoja Wa Waislam (NOI)

    NA AnonymousAfrica #Twitreporter Nimeandika hii, kwaajili ya kuwapatia watu picha kamili kwa lengo la kukujuza / kuelimisha / Kwa wengine ni burudani pia. Sina lengo la kuchonganisha, wala kubagua Kuuliwa kwa Malcolm X Mnamo Februari 21, 1965, Malcolm X aliuawa wakati akitoa hotuba katika...
  18. anonymousafrica

    Mk-ultra: Mkakati wa uchunguzi wa CIA na kifo cha John Lenon (Mwanamuziki kikundi cha The Beatles)

    KIFO CHA JOHN LENON 8 December 1980 Watu waliotumika kufanya mauwaji ya watu wakubwa , wengi wao ukiwafuatilia wanakua walipata mafunzo ya kijeshi. Au mafunzo na kufanyiwa unyama huu wa Mk-ultra. Kama umetazama movie za James Bond au Jason Bourne USIDHANI yameisha kwenye movie tu, haya mambo...
  19. anonymousafrica

    Chambuzi kuhusu Afrika na kifo cha George Floyd

    Watanzania na waafrika wanapinga tukio la Askari kusababisha kifo cha Mmarekani George Floyd. Wamarekani wameandamana huku waafrika/watanzania wakitoa maneno makali mitandaoni na mitaani juu ya tukio hilo. Kwangu mimi kifo au ukatili ule umenifunza kuwa umma ukiamua kupata mabadiliko lazma...
  20. anonymousafrica

    Utashangaa kuona jinsi majivu ya Tupac yalivyotumika

    Kuna hadithi tatu zinazozunguka juu ya kile kilichotokea kwa majivu ya Tupac, kama hautambui ni kwamba, Baada ya kifo cha Tupac alichomwa moto ikiwa kama destruri ya watu wengi. kupenda kufanyiwa hivyo au hata familia kuamua. Simulizi Mbili zinaaminika kabisa na ya mwisho ina ukakasi kidogo...
Back
Top Bottom