Nakuhakikishia hakukua na dalili, im telling u mi mwenyewe imekua shock sana kwangu kwa sababu i didnt c it coming at all, lbd vile tulikua hatuishi wote, sijui, lakini he was always there nilipomhitaji,
Mi ni msichana aged 25, nimeona nije hapa nimwage mauchungu yangu i believe t will help. Nimekuwa na boyfriend for almost three years nilimpenda mnooo naye alionekana kunipenda alinijali n.k yaani he was agud man tulienjoy nakupendana, siku kama nne hivi zilizopita nashangaa anakuja na...
Polle, ila kwanza ujue kwa mila nyingi za kiafria/ kitanzania mahari watu hubargain na pia mahari hailipwagi yote ndo maana wameweka mara mbili ili hiyo mara moja alipe hiyo anayeweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.