Mimi nakumbuka mwaka 2015 nilipokua naishi maeneo ya Mbagala nilikua nauza CPU yang ambayo nlikua naitumia kwa matumiz yangu ya nyumban
Kutokana na ubize Wang wa masomo nilishindwa kutafuta mteja mimi mwemyewe so kuna jamaa mmoja wa pale mtaani nlipokua naishi nikamuomba anisaidie kutafuta...
Kama unamzungumzia shetani basi alitoke baada ya adamu kuumbwa.
kabla ya Adamu hakua shetani ila alijulikana kama ibilisi(jini)aliyekua akiishi pamoja na malaika.
Hivyo baada ya kukataa kumsujudia Adamu ndipo alipolaaniwa nakubadilika kua shetani, hapo inaonesha baada ya adamu kuumbwa ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.