Faida zipi km wanaingiza dola 50 per head? Wakifika wanapanda bajaji watu 4 wamebanana. Hotel wanazolala za bei chee. Wanaingiza faida zipi hasa unazosema. Sisi kwenda kwao mpaka uwape na bank statement zako au any proof of how u r going to survive kwa kipindi hicho.
Tukitaka kwenda kwao tunalipa si chini ya laki 2 na inachukua minimum ya wiki 3 kuprocess hiyo visa ambayo huna hakika kama utapata. Wao kungoja one hour kwa 50 dolars kwa kitu cha uhakika kabisa nadhan hawapaswi kulalamika. Labda tu wangeweka mazingira mazuri ya wao kukaa kwenye viti wakiwa...
Namba sita ckuwah kusikia na imenicheksha hatari.. plan ilikua kung'oa majengo na kuyahamisha au? Coz hakuna jinsi ubadilishe hotel na jins ilivyojengwa ghafla iwe makazi ya watu[emoji28]
Labda nianze kwa kusema concern yako inaweza kuwa valid na pia mimi si mtaalam wa IT so sidefend mtu. Ila ninachojua lack of information kwenye tovuti inatokana na idara husika na wala sio mtengeneza tovuti. Mtaalam wa IT hawez kuwa na info za idara husika mpk apewe. Na kama hajapewa unategemea...
Kuna kijana black american enzi ubaguz bado upo kwa sana alishitakiwa na kuhukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumbaka na kumuua mtt wa kizungu. Alinyongwa wakazika na baadae kuja kugundua sio yeye alofanya huo uhalifu. He was just at the wrong place at the wrong time. Ndo maana kuna fair trial kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.