Hii habari mbona imechelewa sana kutufikia since 2019? Unless imo kwenye Uzi mwingine.
"He hung himself 3 days later"; lilikufa? Haya ndio aina ya majitu yanayoiharibu dunia; similar to terrorists!
Teh! Wewe ndiye hukuelewa toka mwanzo. Kilichokuwa kinajengwa ni standard gauge railroad (SGR) na sio high speed railroad (HSR) ! Mjifunze ku-read between the lines kauli za wanasiasa.
Mbona hii habari ya "mauwaji" haija-trend kama zile "laana" zilizotupiwa the fortified food toka Marekani kwa ajili ya maelfu ya watoto maskini huko Dodoma kupata lishe na kuwaongezea uwezo wa kufikiri?
Uko sahihi, HQ ya unafiq duniani ni Bongo! Lucifer na genge lake waende Bongo kujifunza...
Kwani ipo? Nachokumbuka lilikuwa wazo la mkoloni mmoja, Cecil Rhodes, kama sijakosea kwamba ijengwe. Haikuwahi kujengwa zaidi ya za kuungaunga kati ya nchi na nchi.
Ndege zipo; meli zipo; why barabara au reli ambazo ni hatarishi? Hapo Sudan utapita? Ethiopia?
Nchi zote maporini kuna kila aina ya vikwazo including hali za hewa za kila namna, machafuko, nk. I don't buy that idea!
Kama kwa imani yao kama ilivyokuwa kwa Kibwetere wameamua kutoana kafara who cares? Ondoka kwenye hilo dhehebu to be safe!
Shida inakuja pale vichaa kwa mwavuli wa dini kutaka kulazimisha wasiohusika wafuate dini na miungu yao! Don't you see the difference?
Litakuwa limepatwa na depression ya kutisha na mauzauza kibao; the best option was to commit suicide! By the way kama gaidi limeamua kujimaliza lenyewe bila madhara kwa wengine wangeliacha liondoke salama kupunguza gharama za kulilisha.
Na ndio maana katamka kwa yakini uchaguzi ule wa 1970 kura ya Bi. Mwamtoro bint Chuma (of course na wapiga kura wengine) ilienda kwa Mwl. na sio vinginevyo. There were no choices!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.