Nilitaka kusema hivi juzi nilikuwa moshi jamaa anauza sahan ya matunda kwa buku2 ila unakula unashiiba unatoa ela yako kwa amani kabisa natamani nikirud nimwone tena
Mh Mgombea wa kiti cha urais alikuwa akitoa amri kuwataka wamletee mgombea flani mda mwngine kwa jazba wakati wa kampeni hapo ndo mlipopotoka.
Kwa jicho la tatu zilikuwa zinaenda moja kwa moja kwa wateule wake Nec wakurugenzi ,Polis n.k
Majibu mmeona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.