TLS inapenda kuwajulsha kuwa siku ya jumamositarehe 15 Septemba 2018 kuanzia saa mbil asubuhi wanachama wachama hicho watakutana katika mkutano wao mkuu ambapo wanachama watajadili mambo mbalimbali yahusuyo chama hicho. Mgeni rasmi katika mkutano huo atakuwa ni Mr Ali Mfuruki.
Mkutano huo...
WanaJF habari za asubuhi
napenda kutoa taarifa ya msiba wa kijana wetu Abasi.
Kama mtakumbuka kulikuwa na thread iliyorushwa na Afrodenzi kuhusu
kijana huyo, alikuwa amelazwa hospitali ya KCMC kwa ugonjwa wa mguu kuvimba
alihitaji msaada wa matibabu na chakula. JF members walijitolea michango...
Habari ya leo JF
Ninatatizo la kitovu kutoa maji kwa muda mrefu sasa miaka 25 nimekwenda hospital bila mafanikio nimemwona mtaalamu wa ngozi KCMC kipindi cha nyuma lakini kwa sasa nimekata tamaa.
Sio kwamba kinatoa maji muda wote bali pale ninapotumia dawa na kufanyiwa dressing kinapona naweza...
Habari ya J3 wana JF
Jana jumapili nilikwenda kwa jirani yangu kumsalimia nilipofika nilimkuta yeye na dereva wake wa kazini wote wanalia kuuliza kulikoni jirani yangu akaniambia dereva wake amefiwa na mkewe mie na jirani yangu tukawa tunamfariji huyo dereva kwa msiba alioupata.
Ilibidi...
Mara nyingi ninapoangalia timu yetu ya Taifa ikicheza nawakumbuka sana wachezaji wa zamani. kama hawa wafuatao:-
Idd Pazi, Mohamed Mwameja, Zamoyoni Mogella, Said Mwanga Kizota, Damian kimti, Edward Chumila, Ramadhani Lenny, Hamis Gaga, Madaraka Selemani, George Masatu, Edibli Lunyamila, Ntezi...
Habari wanajf
napenda kujua maana ya maneno haya "tunapendana sana ( We love each other)"
mtu ana mpenzi wake na wanapendana sana lakini anakwambia kwamba gf/bf wangu nina wasiwasi ana mahusianao nje.
sasa najiuliza kwa watu wanaopenda sana inakuwaje unamtilia shaka mwenzako kwamba ana...
Jana usiku amekuja rafiki yangu ameolewa na ana watoto 2 wiki mbili zilizopita mumewe alikuja na mgeni mwanamke nyumbani bila taarifa kwa mkewe akamtambulisha ni mwanafunzi walisoma nae wakati akiwa Uholanzi. Mkewe hakuwa na lakufanya akamkaribisha mgeni na kumwandalia chumba cha kulala. Huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.