Jipange tu kiakili maswali hayafanani
Siku moja kulikuwa na interview Nhif wakatoa maswali ambayo yako nje ya udereva kabisa
Mf swali ninalokumbuka,
Mkurugenzi wa takukuru anaitwa nani?
Hili swali sitalisahahu maana nilishangaa sana
Naomba namimi niweke mchango wangu juu ya majina,
Ki uhalisia sisi ni waafrica wenye tamaduni zetu, tunapaswa kufahamu ya kwamba mwanadamu anayo icon yake ambayo inapaswa kuwa tofauti na mtu mwingine yeyote,
Icon hiyo huwa ni jina ambapo jina kamili la mtu ni lazima yawe matatu
Jina lako...
Kuwa na chura si sababu ya mwanaume kutotoka nje,
Kwa sababu wakati anakuoa yawezekana amekuoendea akili na si tako, kuna wanaume wengine hawataki matako makubwa anaona kero, lakini pia utamu unazidiana unaweza kukuta mtu hana tako lakini mashine inakamua kama mtu anakamua ng'ombe maziwa lazima...
Hiyo ni ngumu sana
Kwa sababu mtu anayo line specific for internet
Line nyengine kwa ajili ya calls only (mfano line za kazini zilizosajiliwa kwa jina lako) hauwezi kulikwepa hilo
Mobile banking pia kuna mitandao haiko vizuri kwene kipengele hicho hatuwezi hiyo kitu bado wafikirie upya kwa...
Wataongea sana lakini kazi anayoifanya si bure, kwa maneno yenu mnampandisha bila kujua
Mungu akutangulie kaka yangu Makonda, kazi yako ninaikubali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.