Kuna wizi mpya haloteli wamekuja nao.Wanakata sh 50 mpaka sh 100 kila unapoweka vocha, halafu ukipiga huduma kwa wateja hawapokei simu au wanakublock. TCRA wapo lakini wizi unafanyika.
HALOTEL ACHENI WIZI
Kama kunavyojieleza hapo juu,naomba formati mpya ya necta form four na topics zake hasa kwa Maths, Physics, Geography, Chemistry na Biology
Sent using Jamii Forums mobile app
habari zenuu,wanafunzii wa mwakaa wa kwanza wachuo cha udsm wapewa boom zilee za asilimia sioo laki 710 kama ndalichkoo halivyosemaa,mfanoo mwingnee kapewa lak4,mwingne laki 6
Za asuhuhiii,
Nimekua nimesikia mijadala mingi humu jukwaani kuhusu hiyo lugha ya malkia,
sasa nilikua naomba ufafanuzi, je kwa wale wa sanyansi hii lugha ni shida je kinaweza kua chazo cha kufeliii chuo au????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.