Habarini ndugu wanaJF.
kwa anayefahamu gharama za hivi vyuo vya vya clinical officer vya serikali naomba anijuze (Amo Training centre Mbeya,Lindi clinical officer na sumbawanga clinical officer training centre.
Kuna kijana wa kiume amechaguliwa kujiunga na mafunzo ya udaktari ngazi ya diploma, anajua vizuri kingereza na matumizi ya kompyuta. Ila ana shida kwani hana hata hizo pesa za kujiunga na chuo husika.
Anaomba udhamini watanzania ili aweze kukamilisha hili, hata kwa baadhi ya makato baada ya...
Nina laptop hp elitebook 8440p,inatatizo la motherbod nauza kama spare kwa yule atakayehitaji!mafundi wale wa computer inawahusu .Ni core i 5,Ram 4 hardisk 320 na adapter yake ipo .Inamwaka mmoja tu.mwasiliano 0759 685263.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.