Wanajamvi, habari zenu kwa mpigo!
Kuna kitu kimenishtua leo.
Nilichungulia mkutano wa CCM Dodoma na kuona Hamfrey amechangamka sana ukilingalisha na wajumbe wengine.
Nikaandika polepole (kwa kiingereza) amechangamka.
Baada ya muda nimeona neno slow slow limebadilishwa na kuandikwa Polepole...
Wanajamvi habari zenu.
Robert Mgabe (92) Rais wa Zimbabwe, ametangaza nia ya kugombea tena kiti cha urais nchini humo. Mkewe (50+) amenukuliwa akisema mumewe ataiongoza Zimbabwe hadi atapokufa.
Mke huyo ameongeza kuwa yupo tayari kumsukuma mumewe kwenye kitoroli kokote aendako ilimradi tu...
Habari wana JF wenzangu! Najua tunaendelea na maandalizi ya sikukuu vema kabisa.
Napenda kutoa wito kwenu ndugu zangu kuwa Tunapoelekea kusherehekea sikukuu hizi, tujiepusha na matendo mabaya/maovu(dhambi)
Matokeo ya dhambi ni laana kwa mtenda dhambi,kizazi chake(3&4), nchi yake, n.k...
Habari wadau,
Kuna kisa kimemkumba mwanafunzi wa kike kidato cha kwanza shuleni kwetu na nimeona si vibaya wanajamvi mkakisikia pia.
Shule yetu ni ya kutwa na ni ya wavulana na wasichana. Kama kawaida ya wanafunzi hujenga urafiki na wenzao kutokana na vionjo vyao.
Ikatokea wanafunzi wanne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.