Vituo vyote vikubwa vya polish unavyovijua wewe kwa hapa dar au nje y dar wanauza pikipiki.
Kwa kuorodhesha.
Polisi kiluvya gogoni
Polisi stakishari
Polisi ostebay
Polisi central
Polisi kibaha
Polisi buguruni
Polisi mabatini K/nyama
Polisi Tazara hapo ndiyo Kama sagulani
NB: Kuna kuwaga na...
Kati ya usafiri ambao hauna risk naweza kusema boda boda.
Boda n umakini wako dereva tu.
Ukiona huwezi kupita main road unaweza kupita service road.
Kwani Kama ukipita high way na ukafuata Sheria utapata changamoto gani?
Mf kwenye mataa ukasimama na kwenye kuendesha ukakaa Lane yako hapo huwezi...
Kanisani kwao kila mtu Ana ndoo na kitambaa.
Ratiba zao za ibada muda wa kutoka ni ukakasi.
Nenda temboni katikati ya week utakuta saa 7-9 usiku mnene watu ndiyo wanatoka kanisani.
Kama wanga vile na mandoo yao
Boda boda mpya 1lt inapiga 50Km
Ikishakuwa chakavu inapiga 35-42Km
Ukienda kuibana cableta inapiga 55-60Km
Kwa rate hiyo mtu unaweza kukaa bunju na kufanya kazi kariakoo kwa Lita 1 tu go and return ambayo ni 3200 per lita.
Kwa common sense kutoka bunju had kariakoo huwezi kumkosa abiria hata 1...
Yote hayo yalitabiriwa.
Huwezi kuvunja/kuzuia unabii na sharti la unabii lazima utimiee.
NB:MUNGU ANAWAJUA WALIO WAKE.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Siku hizi anapiga ndondo pale mbezi-dodoma
Na kigari chake Cha mtumba Toka UK.
Ubishoo bado hajaacha Hadi Leo.
Ila haipiti week bila kuchukua abiria pale
Mbezi-dom
Dom-mbezi
Maisha haya..
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Hakuna chuki ila n ukweli.
Huyo tapeli wa Zimbambwe ni gold mafia mkubwa sanaa, ana kesi nyingi za utakatishaji fedha nchini kwao.
Mwisho kabisa, tumepima na kupambanua roho iliyopo ndani ya kapola na jawabu ni kwamba, si roho ya Mungu wa kweli.
Hii si,kweli.
Wapo waliobarikiwa na hakuna laana. Na wapo wenye utajiri mkubwa pasipo ku mix na mambo ya kishetani
Zingatia.
BARAKA ZA MUNGU HAZINA MAJUTO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.