Iwe na hivi vitu
-4K
-120Hz(fps)
-55'/65'
-HDMI 2.1
Ata ikiwa USED imrad iwe kwenye condition nzr na box lake
Iwe kampuni yoyote ilimradi iwe na hvyo vigezo, karibun
Mengine kasema
Wako tayari kuendelea na vita kama watapewa silaha
Kasema misaada wanaitumia vizuri
Kasema Putin anatishia tu na hawezi kufanya
Kasema missiles nyingi za Urusi zinatunguliwa nyingine hushuka ambapo hamna athari yoyote
Kasema viongozi aina ya Putin ni watu waliolewa madaraka na...
Kwa wanaouliza app inaitwa 'Spending'
Na unaweza kuweka mapato pia na mwisho ndani ya mwez ukajua kama umeingiza au umekula mtaji
Kuna msemo
"Biashara bila Budget utawalalamikia wachawi na chuma ulete"
Apo nimeweka tu ila forex imechukua sehem kubwa ya matumizi mwezi huu
Mtu mwenye upeo anaweza jua mimi ni mtu wa aina gani, labda -kwenye matumizi yangu hakuna sehem ya sadaka, ko sijaenda kanisani mda
Kama we ni kiongozi baki kiongozi, kama ni daktari kuwa daktari, kama wakitaka kutuua wanaweza kutumia ata chanjo ya Tetenas au Chanjo ya surua maana dawa kama zote tunategemea nje.
Why dont yhe government apply elimination of zeros
Currently
1 usd =2300tsh
After eliminating zero
1usd =230tsh
Then our lowest will be 5tsh instead of 50tsh
And our highest currency will be 1000 instead of 10000tsh
Wamasai kama binadamu wana athari kubwa kuwa katikati ya mbuga za wanyama
Kwanza wanapenda kuua simba ambapo ni moja kati ya mila zao.
Na simba ni mnyama anayevutia watalii kwa asilimia kubwa.
Pia simba hupungua mbugani kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba miaka 100 ijayo wanaweza kubaki hamsini au...
Calculations
Mtu ana gar dogo, naishi kigambon, ila anafanya kaz bandalin au mjin tuseme, analipwa 800000# na kutokana na makato anapata 600000# ana familia pia
Njia fupi ya kuwahi kazin ni kupita darajan
Ok
Kwa siku kwenda 1500# na kurudi pia, so kwa siku ni 3000#
Kwa mwezi 90000# ( hii ni...
Wanawake wengi wamekuwa wakijifungua kwa upasuaji siku za hivi karibuni, sijui tatizo likowapi ila almost kila mwanamke sikuizi nikimuuliza anasema kajifungua kwa upasuaji, ni kuwa hulinda ladha ya papuchi zao au ni ulainilaini wa watoto wa mjini?
Kuna jirani yangu hapa toto lilikuwa na shepu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.