Jamani uplayer mmbaya. Nishaplay sana na i had no pain to any woman hata anifanyeje. But sasa kuna mdada huyo duh! Tukikwaza tu kidogo ka moyo kananiuma. Yaani nampenda mwanzo mwisho ile sijawah kupenda na sijawaza hata msichana mwingine. Hivi hii hali ya kawaida kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.