Search results

  1. DianaKiboko

    Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

    Uncle wake Dowans hajapona kwa babu?? whaaaaaaayyyyyyyyyy,,,,,, this is so sad Dowans, enewei sio shida cheki ya $96 million ipo atakuwa well taken care of,,,:wof: :rolleyez:
  2. DianaKiboko

    Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

    Sawa Rost, ni kweli haitibu ugonjwa wako wa DOWANS!!!:nono::nono::A S-cry:
  3. DianaKiboko

    Kiboko ya Lowassa Afariki Dunia

    hahahaha, una lako jambo...:scared::biggrin1:
  4. DianaKiboko

    Chadema ndani ya Bukoba

    [/B][/I] Kiwi, nobody could have said it better!!!!!! I salute you! Nimeyaandika haya maneno yaliyo bold kwenye note book yangu na ninayakariri kwenye ubongo wangu. Asante:first:
  5. DianaKiboko

    Chadema ndani ya Bukoba

    AMEN KIWI !! :amen::wave:
  6. DianaKiboko

    Maandamano: Maswa hapatoshi umati mkubwa sana

    Kumbe ana akili!! LOL:A S 13:
  7. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Kilimasera, asante sana, naona umepona na Simba! wanasema huko maeneo wakati wowote unaweza ukawa lanchi ya Simba! Be careful :pray:
  8. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Asante Kaizer! Yani nimecheka sana, Nyani hasusiwi shamba??!!! LOL!!! Hiyo ni Kiboko kama jina langu :-)
  9. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Kilimasera asante nimekaribia!
  10. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Keren asante!!! Im having fun already!:wink2:
  11. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    asante Yahemovich, nimeshakaribia na tayari najisikia nipo nyumbani :-)
  12. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    K007 asante. Ndio maana nimejiunga sababu nafikiria na nataka kuendelea kufikiria na kuumiza kichwa sana! :poa
  13. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    asante Katavi, nitazingatia.:nod:
  14. DianaKiboko

    Ninauza kiwanja

    Chilla bado kipo hiki kiwanja? ningependa kuja kukiona kama bado hakijatoka.:rain:
  15. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Asante Mpevu, sahihi yako poa, usikate tamaa, ila mie nshawahiwa na ndugu yako, ila endelea kuangaza utapata tu hata ikibidi nikusaidie kutafuta, :wink2:
  16. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Asante Michelle! Nimekusoma sana Michelle na nakufagilia sana always, in fact umenisababisha kujiunga :wink2:
  17. DianaKiboko

    Hello wapendwa, new girl in the block,,,

    Hodi jamii forum! Nimekua nasoma tu kwa siku nyingi leo nimeamua kujitosa ulingoni, naomba kukaribishwa :):wink2:
Back
Top Bottom