Wana JF.
Serikali kupitia TRA pitieni upya makadilio yenu mliyopanga kariakoo ya milioni tatu (3) kwa mwaka haya ndiyo makadilio ya chini kwa wafanyabiashara.
Serikali hizo pesa ni mzigo mkubwa kwa wafanyabiasha bado hawajalipa kodi ya maduka, bado hawajalipa leseni, bado hawajalipa ushuru wa...
Wana JF.
Tunapenda kutoa pongezi kwa kampuni ya Silent Ocean ya China kwa kurudisha hudumu ya kusafirisha vifurushi (loose cargo) baada ya kusitisha kwa muda kutoka China mpaka Tanzania, sasa hivi wanapokea makontena na loose cargo.
Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wamefurahishwa na hali...
Watanzania,
Baada ya sakata la makontena kupamba moto leo hii nipo China nimepeleka mzigo wangu kwenye kampuni ya usafirishaji mizigo ya Silent Ocean iliyopo Guangzhou China.
Wamesema hawapokei lose cargo kwa sasa wanapokea makontena wameniambia kama unaweza kujaza kontena tuletee...
Wana JF.
Katika hali ambayo siyo ya kawaida tumeshuudia Jimbo la Ilala Ukawa ukivunjika rasmi baada ya vyama vya Chadema na CUF wote kuweka wagombea.
Upande wa Chadema wamemsimamisha Muslim Hassali.
Upande wa CUF wamemsimamisha Kamaldeen Muccadam.
Kila kona ya Jimbo la Ilala...
Wana JF.
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametangaza kuwa ana $150,000 (£100,000) kwenye akaunti zake za benki, katika hatua inayolenga kuendeleza uwazi na kupiga vita ufisadi serikalini.Kiasi hicho kinaonyesha kuwa amekuwa akiishi maisha ya kujinyima, msemaji wake Garba Shehu amesema.Bw...
Wana JF.
Muda mrefu tumekuwa tukiona kwenye kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mzee Sabodo alikuwa akiwapa misaada sana CHADEMA pesa na vifaa sasa hivi kulikoni yupo kimya.
Wana JF.
Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu asiyekuwa maarufu kipindi hicho, aliyekuwa akiitwa John Okello, John Okello alikuwa akiishi Pemba ambako alitokea Uganda miaka michache tu.
Ndani ya Zanzibar Okello alipata umaarufu kwa...
Wana JF.
Nikiwa kama Mtanzania ambaye kwa sehemu moja au nyingine nawajibika katika utumishi wa jamii, nimeona vema nitoe mawazo yangu kidogo kuhusu kinachoendelea ndani ya CHADEMA kama taasisi. Mimi sio mwanasiasa kwa maana ya kimajukumu wala kiutendaji lakini ni sehemu ya siasa za nchi...
Wana JF,
Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema) kimetumia zaidi ya milioni 950 katika uchaguzi wa kata nne Arusha.
Chadema wanasema Arusha ndiyo ngome yao kulikuwa na haja gani kutumia kiasi kikubwa cha pesa/Chopa/Magari ya M4C/Pikipiki za M4C.
Habari za ndani kutoka Chadema zinasema...
Wana JF,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wanawachanganya watanzania kutokana na msimamo wao kwenye suala la Katiba ya nchi, mwanzo walitaka serikali tatu, Tume ya Katiba kwenye rasimu yao wamependekeza serikali tatu, ukiwasikiliza viongozi wa Chadema sasa hivi tena hawataki serikali...
Wana JF.
Utafiti nchini Tanzania unaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume inafikia mwanaume mmoja wanawake watano hapo ndio kunakuwa na uiano.
Ikiwa mwanaume mmoja anatakiwa kuwa na mwanamke mmoja hawa wanawake wengine ambao ni wengi watapata wapi wapenzi sababu wanaume wote wana...
Wana JF.
Kuanzia sasa ndani ya masaa 24 Dr Ulimboka kuwataja wale wote waliyomfanyia vitendo vya unyama na utekaji tusibiri Dr Ulimboka atasema nini.
SOURCE; MLIMANI TV.
Kwa mara ya kwanza jana nimerudi kutoka Nairobi Kenya, nilikuwa sijawahi kusafiri nilikuwa napasikia tu kuzuri sana kuna maghorofa mengi sijui Shinyanga yetu itaifikia lini Nairobi, hata nikifa leo nimeishafika Nairobi.
Wadau wa JF,
Inavyoelekea baadhi ya viongozi wa dini wameanza kuonyesha dalili au kutekwa na siasa, viongozi wa dini ndiyo muhimili mkubwa kutokana na hadhi yao mbele ya jamii yetu ya kitanzania.
Viongozi wa dini wameamua kukemea maovu yanayofanywa na watu fulani kwa wakati fulani na kuacha...
Wana JF,
Hivi karibuni katika miji ya Morogoro na Iringa iligeuka uwanja wa mapambano baina ya wafuasi wa Chadema na askari wa jeshi la polisi na kusababisha mauwaji ya raia wawili Ally Nzona alifariki Morogoro na Mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alifariki Iringa.
Jeshi la polisi lilizuia...
Kauli mbiu ya kwanza ya chama
Kauli mbiu ya kwanza zilizopitishwa na chama zilionyesha nia ya msingi ya kutumikia wananchi. Nazo ni:
1.
CHADEMA ....................
VEMA!
2.
MWANANCHI ..................
NAMBARI WANI...
Wadau, wa JF,
Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaendelea kujitanua kimataifa baada ya kufunguwa matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani sasa hivi wanaelekea kufungua matawi nchini China katika miji ya Guilin, Guangzhou, Hangzhou, Shanghai, operesheni hizo za kufunguwa matawi...
Wana JF.
Mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia katoa taarifa za uhakika zimeonyesha kuwa mgao wa umeme unaoonekana ukiendelea nchini una mkono wa baadhi ya wabunge na watendaji wa Tanesco, ambao wasingependa wananyang'anywe ulaji wao.
Katika hatua nyingine Mbatia alionyesha kushangazwa na...
Wana JF.
Kila siku zinavyokwenda hali ni mbaya kwa gazeti letu pendwa la Mwanahalisi. Kutokana na udhaifu wa kiutendaji wa gazeti hilo sasa hivi limekuwa gazeti pekee linalobakia kwenye vibanda vya kuuzia magazeti.
Imefikia wakati gazeti la Mwanahalisi linauzwa kwa kilo maeneo ya kariakoo...
Wadau MMU.
Asilimia 70 ya wanawake wana mahusiano ya kimapenzi zaidi wanaume watatu mpaka watano.
Hii tabia ya wanawake kuwapanga wanaume kila mmoja na majukumu yake inazidi kukuwa kwa kasi ya ajabu.
Mwanamke wako akikuheshimu sana basi atakuwa na mwanaume mmoja.
Unakuta mwanamke yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.