Wazee wa Dar es Salaam katika Baraza la Wazee wa TANU na Mwalimu Julius Nyererekatika Uchaguzi Mkuu wa 1962. Masikitiko ni kuwa mashujaa hawa hadi leo nchi haijawatambua isipokuwa Nyerere peke yake. Kushoto ni Mwinjuma Mwinyikambi, Max Mbwana, Julius Nyerere na Mshume Kiyate, picha ilipigwa...
Hahahahahaha!!!nasikia hata zile boti za raia wa Libya zinakwenda Ulaya na kufia kwenye maji baharini ni simulizi za wahuni tu Libya sasa hizi wana maisha mazuri sana toka wamuue Gaddafi.
Toka mwanzo nilikuambia hizi habari upendi kuzisikia haya soma na hii.
Germany In ‘Total Shock’ As Proof...
Hahahaha!! Nilijua tu lazima utapinga maana ni habari ambayo utaki kuisikia maana inawagusa watu unaowapenda.
Ngoja nikupe darsa ujue hii dunia inavyokwenda acha kukariri tu.
Angalia hii video.
Halafu angalia na hii pia.
Hebu nenda sasa hivi Libya kayaseme hayo maneno yako kama ukukatwa kichwa.
Na magaidi wa ISS, Al Qaida wanafadhiliwa na Marekani na Israel au ili ulipendi kulisikia sababu linawagusha wazungu ambao ni miungu watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.