Search results

  1. Mshume Kiyate

    Zitto muangukie Diamond akupromoti

    Watu hawaangalii idadi ya posts watu wanaangalia ubora wa posts lakini bahati mbaya sasa hivi nyie ndiyo magwiji wa JF. Alamski.
  2. Mshume Kiyate

    Zitto muangukie Diamond akupromoti

    Nguruvi3 ,Mchambuzi, Kimbunga, Mag3, FaizaFoxy, Alinda, Ritz, Waberoya, MwanaFalsafa1, Rev. Kishoka, chama, Barubaru, Spike Lee, Mzee Mwanakijiji, AshaDii, Kimweri, Fundi Mchundo, Kapwela, mpo wapi Jamani JF inadhalilika.
  3. Mshume Kiyate

    Je,haiwezekani tumechalala?

    Kuna watu toka enzi za Nyerere hawana kitu nao wanampa lawama Magufuli.
  4. Mshume Kiyate

    Zitto muangukie Diamond akupromoti

    Kweli JF tumeishia aisee!! Huu uzi wakujadiliwa kweli tusipokuwa makini JF itakuwa sawa na magazeti ya Shigongo.
  5. Mshume Kiyate

    Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

    Unajipunja bure kwa umri wako unatakiwa utulizane ujifunze historia ya Tanganyika.
  6. Mshume Kiyate

    Jinsi Rais Magufuli anavyowakandamiza wanyonge

    Utaweza kununua ngozi ya bei yake utaiweza?
  7. Mshume Kiyate

    Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

    Wazee wa Dar es Salaam katika Baraza la Wazee wa TANU na Mwalimu Julius Nyererekatika Uchaguzi Mkuu wa 1962. Masikitiko ni kuwa mashujaa hawa hadi leo nchi haijawatambua isipokuwa Nyerere peke yake. Kushoto ni Mwinjuma Mwinyikambi, Max Mbwana, Julius Nyerere na Mshume Kiyate, picha ilipigwa...
  8. Mshume Kiyate

    Si sahihi kutumia makosa ya Magufuli kuhalalisha ya Kikwete

    Hamna udini wowote Magufuli kukataa kuweka mchaga kwenye serikali yake ana maana kubwa.
  9. Mshume Kiyate

    Si sahihi kutumia makosa ya Magufuli kuhalalisha ya Kikwete

    Mleta mada naona unamkumbuka JK kihaina bahati mbaya hagombei tena urais.
  10. Mshume Kiyate

    Mbowe: Tunazuiwa kutembelea matawi ya CHADEMA

    "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete". John Mnyika Ndiyo siasa zilivyo Mbowe yote haya kayaleta Mnyika.
  11. Mshume Kiyate

    Umateka wa Fikra

    Mwingine huyu naye amebakia kukariri tu sasa hivi Gaddafi hayupo maisha yakoje huko Libya?
  12. Mshume Kiyate

    Umateka wa Fikra

    Hahahahahaha!!!nasikia hata zile boti za raia wa Libya zinakwenda Ulaya na kufia kwenye maji baharini ni simulizi za wahuni tu Libya sasa hizi wana maisha mazuri sana toka wamuue Gaddafi. Toka mwanzo nilikuambia hizi habari upendi kuzisikia haya soma na hii. Germany In ‘Total Shock’ As Proof...
  13. Mshume Kiyate

    Umateka wa Fikra

    Hahahaha!! Nilijua tu lazima utapinga maana ni habari ambayo utaki kuisikia maana inawagusa watu unaowapenda. Ngoja nikupe darsa ujue hii dunia inavyokwenda acha kukariri tu. Angalia hii video. Halafu angalia na hii pia.
  14. Mshume Kiyate

    Umateka wa Fikra

    Hebu nenda sasa hivi Libya kayaseme hayo maneno yako kama ukukatwa kichwa. Na magaidi wa ISS, Al Qaida wanafadhiliwa na Marekani na Israel au ili ulipendi kulisikia sababu linawagusha wazungu ambao ni miungu watu.
  15. Mshume Kiyate

    Umateka wa Fikra

    Eti Gaddafi aliwakandamiza raia wake ndivyo ulivyokaririshwa???
  16. Mshume Kiyate

    Umateka wa Fikra

    Hivi wewe unalipwa kiasi gani kupost humu JF thread kila baada ya dakika 5?
  17. Mshume Kiyate

    Professor Mtanzania kaajiriwa kama dereva Ubalozi wa Kenya Marekani

    Kenya wanajidanganya kuwa wamempa ajira Prof wa Tanzania lakini hawajui kama yupo kazini huko Kenya.
  18. Mshume Kiyate

    Rais Magufuli una ujasiri jukwaani tu

    Wewe lazima utakuwa kijana wa Mbowe upo kazini haya kamanda kazi njema tetea mkate wako.
Back
Top Bottom