Habari wakuu, mimi ni mhitimu wa Chuo katika ngazi ya Diploma nikiwa nimesomea Electrical engineering Arusha Technical College.
Nilikuwa naomba nafasi ya kujitolea katika viwanda au mashirika ya umma kwa nyakati za wikiendi, yaani jumamosi na jumapili ili niongeze ujuzi zaidi siku za katikati...
Wakuu Nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya field katika kiwanda chochote Kipaumbele kikiwa Tanga mana kule kila mahali ninapakukaa, Ila kama itakuwa ni out of tanga na walau kuna Hata hela ya kula sio tatizo pia nipo tayari, Mimi ni mwanafunzi ktk Fani ya Uhandisi wa Umeme ngazi ya Stashahada...
Wakuu nijuzeni namna Nano au Micro Gps tracker zinavyokuwa inserted or planted kwenye Mwili wa Binadamu, Maeneo gani haswa huwekwa Chip izi? Je ikawekwa inakuwa inapata source of power kutokea wapi? Na je ina toa Velocity au Exactly location on real time???
Hello Friends, I live in Arusha I would like to get friends who speak English fluently, I am an intermediate user so i wanna boost my speaking Skills, I have friends out of my country and i always do communication with them, For now i need the friends who are nearby so that It will be easily to...
Karibu sana waliopo tanga na Viunga vyake fundi umeme mbombezi napatikana Tanga, Nafanya kazi hizi
-Ufungaji wa sensor zote kama zinazo control taa kujiwasha na kujizima wakati wa kupambazuka na giza kuingia
-Nafunga CCTV camera
-PIR sensor, Hii sensor ita detect uwepo wa mtu na kuwasha taa au...
Wakuu Salama mimi ni mwanafunzi ktk chuo cha ufundi Arusha ( Arusha Technical College) nilikuwa natafuta nafasi ya kujitolea haswa siku za wikiend ili niongezee skills juu ya Fani yangu Nipo Mwaka wa pili Diploma Ya Electrical, Sifa nilizonazo
-Nimepita VETA na Kupata Level two ktk Electrical...
Wana ATC tunasema Skills make the Difference, Huu utakuwa uzi special kwa alumni na Currently Students katika Chuo chetu Makini cha Ufundi Cha Arusha, Sambamba tunawakaribisha Wote wanaotaka kujiunga na walio na ndoto za kusoma Katika College hii,
Chuo cha Ufundi Arusha kilianzishwa mnamo...
Wakuu nataka art mbalimbali ktk modifies hii cursor ktk laptop yangu kuna mtu nilimkuta ana cursor akisogeza kuna kapaka kanaifata je ni software gani izo
wakuu niko na equity bank sasa imekuwa impossible kabisa kulink hii card na paypal .sijapata verfication code mpaka ninavyoandika ujumbe huu ni wiki sasa wakuu, mana ninavyojua kwa equity hii code ya paypal ingekuja kwa sms kupitia number niliyofungulia, paypal wao wameshalamba 1.5 dollars na...
Salama wakuu mimi ni Fundi wa vifaa vya umeme na Umeme wenyewe niko interested zaidi na Electronics natamani kujifunza Programming language nahitaji muongozo Pakuanzia wakuu kuna watu wamenishauri nijifunze C and C++ kutoka na field niliyopo sasa experts,Hobbyist nahitaji ushauri wako na link...
wakuu nina relay switc nahangaika namna ya kuziconnect ost s 112dm 12 vdc na4078 dc9v shg hii ya volt tisa niki energize coil naisikia ikimake ila nashindwa kuzijua ipi nc and no
Nina laptops aina ya Asus ni mini sasa Hdd yake ni kama 28 Gb nahitaji ku upgrade je hard disc zinaingiliana au zinatofautiana kutokana na mashine nahitaji ya 200Gb ebu nipeni na bei kabisa
Wakuu poleni na majukumu, natambua uwepo wa mafundi laptop humu sasa shida yangu ni kuwa umeme umeniunguzia laptop yangu, Je nifate taratibu zipi kurepair power supply ya ndani ambayo probably inaweza kuwa imeungua?
Maana laptop ilikuwa full charged but plugged in sasa ghafla nawasha imegoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.