DONALD TRUMP EXECUTIVE ORDER ON IMMIGRATION.
Na Abel Elibariki.
Siku chache baada ya kuapishwa kwa Rais wa USA Ndugu Donald Trump, katika hatua zake za kutekeleza ahadi yake ndani ya siku 100 kama ilivyozoeleka kwa kiongozi yeoyote wa ngazi ya juu serikalini anaposhika hatamu.
Moja ya hatua...
DONALD TRUMP EXECUTIVE ORDER ON IMMIGRATION.
Na Abel Elibariki.
Siku chache baada ya kuapishwa kwa Rais wa USA Ndugu Donald Trump, katika hatua zake za kutekeleza ahadi yake ndani ya siku 100 kama ilivyozoeleka kwa kiongozi yeoyote wa ngazi ya juu serikalini anaposhika hatamu.
Moja ya hatua...
TUYAENZI MAPINDUZI YA ZANZIBAR( MAPINDUZI YA AFRO-SHIRAZI PATY) JANUARY 12 ,1964.
Awali ya yote niwapongeze viongozi na watu wote wa Zanzibar na Tanzania bara ( Tanzania) kwa kuendelea kulinda na kudumisha Mapinduzi ya Zanzibar.
Ni vema zote tukajua kuwa Maandalizi na mipango ya watu wa...
PATA USAFIRI WA UHAKIKA KUTOKA KWA CORPORATE TOUR.
Katika kipindi hiki cha sikukuu Corporate Tour inakuletea usafiri bomba kwa ajili ya WEDDING, KITCHEN PARTY,SENDOFF na TOURS na sherehe mbalimbali kwa wewe mkazi wa Dar es Salam na Viunga vyake.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa...
PATA USAFIRI WA UHAKIKA NA MAGARI YA KIFAHARI KUTOKA KWA CORPORATE TOUR.
kwa ajili ya hafla kama WEDDING,KITCHEN PARTY, SENDOFF,HARUSI N.K kwa bei nafuu kabisa kwa wewe mkazi wa Dar es Salam na Viunga vyake.( LANDCRUSER V-8, MERCEDEZ BENZ,CROWN,VILLFIRE ,NOAH,COASTER NA ALPHAD)
Kwa mawasiliano...
PATA USAFIRI WA UHAKIKA NA MAGARI YA KIFAHARI KUTOKA KWA CORPORATE TOUR.
kwa ajili ya hafla kama WEDDING,KITCHEN PARTY, SENDOFF,HARUSI N.K kwa bei nafuu kabisa kwa wewe mkazi wa Dar es Salam na Viunga vyake.( LANDCRUSER V-8, MERCEDEZ BENZ,CROWN,VILLFIRE ,NOAH,COASTER NA ALPHAD)
Kwa mawasiliano...
RAIS JOHN MAGUFULI ANAFUATA NYAYO ZA BABA WA TAIFA
Nadiriki kusema hivyo kutokana na sababu zifuatazo.
WANANCHI KUWAJIBIKA KUJENGA TAIFA LAO
Mtakumbuka jitihada za dhati za Baba wa Taifa Mwl.Nyerere za kuwahamasisha Watanzania kutumia nguvu zao wenyewe kujenga nchi yao kwa kujitolea ,kupitia...
HUYU NDIYE MWALIMU NYERERE.
Mwalimu Nyerere katika maisha yake alikuwa mkweli.kama hakufahamu jambo aliuliza bila kujifanya kuwa analifahamu.Aliomba yule anayelifahamu alieleze badala yake alipokuwa katika vikao vya chama na serikali hapa nchini.
Mwalimu Alikuwa hataki Majungu.Aliyempelekea...
TUTAFAKARI
Jana kwenye mazishi ya William Ole Ntimama kiongozi wa kabila la maasai Kenya na mwanasisia wa Upinzani mkongwe ambayo pia ilihudhuriwa na Msemaji wa chama Mh.Ole Sendeka na Mh.Edward Lowassa.
Rais wa Kenya Mh.Uhuru Kenyatta alipata kunena maneno haya alipokuwa akizungumza
" Yupo...
+09
Uwoga humfanya mtu kuganda kama barafu kama binadamu tuna uhuru wa kuchagua tusimame na kuganda kama barafu au kusimama na kwenda mbele.
Uwoga ni mkakati wa Adui wako kama wasemavyo wataalam kuwa uwoga humfanya Mbwa mwitu kujiona mkubwa kuliko alivyo. Hivyohivyo Mbwa mwitu wa Rushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.