nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho...
Wapendwa mambo vipi
Naomba kufahamishwa dawa ya kuangamiza hawa wadudu
Chumbani wamejaa mpaka kitandani hapa nipo nje nimeshachoma nguo lakini wapi ipi dawa ya kuwafanya wasirudi tena??
Mke mdogo wa aliyekuwa muimbaji wa miondoko ya taarabu, mfalme Mzee Yusuph aitwae Chiku amefariki usiku huu katika hospitali ya Amana alipokwenda kujifungua
Chiku amefariki yeye pamoja na mtoto.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma akuongoze Na akupe Kila lenye heri nawe
Heri ya siku ya kuzaliwa Tony
[emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512]
MO11 MO11
Lile sakata la mwanamama mchambaji maarufi Instagram Mange Kimambi Na Tzshaderoom a.k.a Milly bado linaendelea Na ubuyu n kama ufuatao [emoji116] [emoji116] [emoji116]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.