Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 30-40
2. Awe amesoma atleast form 4 na kuendelea.
3. Awe na akili ya maisha yani mtafutaji au mwenye kazi yake.
4. Awe na hofu ya Mungu.
5.Awe Mkristo
Mimi;
1. Nina Diploma ya Ualimu
2. Ninakazi yangu ambayo inanifanya niwe na uwezo wa kuihudumia familia...
Habari wana JF,
Nina diploma ya Elimu nahitaji kujiendeleza ila nina GPA ya 2.9, nini cha kufanya ndugu zangu ili nifanikiwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF,nina Iphone 6s plus ambayo baada ya kujaribu kuingiza passcode mara kwa mara imeniletea ujumbe kuwa 'connect to iTunes'.Msaada wenu tafadhali.
Nauza gari aina ya Corolla X #B,ipo katika hali nzuri,cover ya taa moja ya nyuma imepasuka
Engine type VVT-I
Eng size. 1496
Milage. 137300km
Ful AC
Haidaiwi
Whatsapp/Call: 0652953807
Habari GTs,Je, naweza kujua mtu anamiliki gari aina gani kwa kutumia TIN No tu?Na kama ndio,naomba msaada plz kwa namba hii, 105-680-732,Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilikosea kutuma pesa(180,000),nikawapigia simu siku ya tar 7 ijumaa ya mwezi huu,wameshazuia pesa nilikotuma na imerudi tigo,cha ajabu imepita wiki sasa hawajaniingizia pesa yangu,wameniboa sana wezi hawa wakubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.