huyo Mondi wako hadi hivi sasa ana recognition gani za kimataifa ktk masuala ya music hadi umlinganishe na the wacko jacko?
Je ameonekana mara ngapi ktk The World Music Awards, Guinness Book of World Records, na Grammy Awards?
Ha ha ha!
Najiuliza tu, hivi viongozi Wakuu kabisa wa awamu ya pili na ya nne kwa imani yao, walikubali kabisa vipindi vyao vya miaka 10 ktk uongozi wa nchi ya Bongo vipite wima bila kuondoa BAKWATA ya kikafiri?
Mkuu unajua watu wanaunganisha dots za matukio ya nyuma na ya sasa na kufikiri kuwa hawa wenzetu wana play part kubwa sana ktk mambo ya unyama & ugaidi kutokana na mambo wanayoyasoma vitabuni. Mfano ni jinsi Umm Qirfa alivyouawa kinyama kwa kufungwa miguu yake kwa kwamba na kamba hizo kufungwa...
Wa stendi una shida. Faza ametoa Maelezo marefu kuhusu mdudu huyu, kisha ameona haitoshi for the sake ya watu wa dizaini yako, akafanya tafsri ya Kiswahili, still uelewi. Pole.
Mawazo mazuri sana mkuu tena ya mtu mzima! Nakumbuka sana kazi nzuri zilizokuwa zikifanywa na MECCO kipindi kile japo miundo mbinu ya barabara ktk Tz yetu ili kuwa bado haijatanuka sana.
Pia Idara ya Common Works (enzi zile tukitamka 'komweksi') ilikuwa ikifanya vizuri. Kwa vile kiongozi wetu...
Asante mkuu japo ni C & P.
Ukijaribu kutafakari mambo complex kama haya then unakutana na mtu kama Kiranga akibisha kuwa Mungu hayupo, huwa nashangaa sana!
Acha Mungu aitwe Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.