Nini kimemlazimu huyu mtu kujizungushia duara na ni kwa nini kaweka fimbo chini na kailalia?
(binafsi nimeona amechoka kaamua kulala, lakini katika kulala ameona ni bora achole hilo duara na kuweka fimbo chini akiwa ameilalia ili akiamka ajue direction anayotakiwa kuelekea.)
Upo Arusha na unahitaji chumba cha kupanga
Master ina
Chumba 1
Sebule 1
Choo ndani
Luku ni yako
Maji ya bomba yapo
Maji ya kisima yapo yanapandishwa kwa mota
Malipo 150,000/= (kwa mwezi)
Kuanzia miezi 3
Pia Single room ipo 1
Malipo 45,000/= (kwa mwezi)
Kuanzia miezi 3
Umeme, maji mnashare na...
Habarini wana Jf
Nina shahada ya Uhasibu, natafuta Auditing Firm kwa Arusha ili niweze kujifunza Zaidi kuhusiana na auditing (Nafasi ya kujitolea kwa malipo kidogo).
Asanteni.
Mwenye uwezo wa kunisaidia kwa hili
PM zote nita jibu.
Kwa sasa ni napatikana Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.