I have a Certificate in Sales and Marketing and over six years of experience in Sales based on Fast moving consumer goods, I am confident in my ability to make a significant impact in sales and marketing department.
Throughout my professional career, I have demonstrated a strong ability to...
Uber ni Tax so must uwe na
Uber ni tax so lazima uwe na licence ya tax ambayo ni
Uber ni tax so lazima uwe na licence inakuruhusu kufanya huduma hiyo. Ambayo ni C3.
Naitwa Denis Samwel nipo Tabata Natafuta Gari ya kufanyia kazi ya usafiri wa Mtandaoni yaani Uber, Taxify na Ping.
Account zote Ninazo pia Niko na licence inayoniruhusu kufanya kazi hii, Pia niko Hati ya Tabia njema kutoka Wizara ya mambo ya ndani ya nchi. Umri wangu miaka 27.
Hesabu ni sh...
Asante kwa maneno yako ya Busara na yasiyo na Matuc ila Naomba nami nikukumbushe kitu Kukosolewa sio dhambi ila Dhambi ni Kutukanwa ama lugha za Matuc juu ya Mwandishi.
Mtu anapokosolewa inamsaidia kujua kile alichokikosea Ila Anapotukanwa Ina msaidia nini
Unajua hawa vijana wanakosa respect kaka wao wanazani kila MTU wa kumtuc tu.
Sikatai kukosolewa Bali Nakataa kutukanwaa Yaani hapo ntacheza na ww kwa kweli sintokuacha hata kidogo lazima nikutie Adabu.
Wafundishe kumkosoa mtu sio kumtukana MTU
Maisha yatuchanganye na Wao watuchanganyee siwez...
Usiniogope niheshimu tu ntakuheshimu Angalia comment zote toka juu kuna wenye kujielewa wamenikosoa lakin wamenikosoa kwa Fact nzuli na maneno ya Staha na sijawajibu chochote koz wameniheshimu nami nimewapa respect lakin Wasengee nyie mlioleta matuc I will deal with them wote na Sita waacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.