Mwaka 2014 nikiwa katibu wa Umoja wa vijana Chama Chama Cha Mapindizi UVCCM-Mkoa wa Morogoro Tulipokea Wageni Vijana kutoka Africa Kusini.
Lengo la Vijana hao ilikua ni kutembelea Eneo la Mazimbu ambalo wapigania Uhuru wa Taifa hilo lililopo kusini mwa Africa waliweka kambi na kuchukua mafunzo...
Upo wapi Ndugu Yangu ? Nipo morena hotel kaka
Ok ningoje hapo nakupitia twende sehemu ..
Yalikua Mazungumzo yangu kwa njia ya simu kati yangu na kaka yangu,Kiongozi wangu, na Rafiki yangu Mheshimiwa Antony Mtaka Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Baada ya dakika chache alifika hotelini kisha...
Ni wakati ambao Alarm iliotumika kuniamsha ilikua jogoo linapowika, saa yangu ya mkononi ilikua kivuli changu, kadri kinavyokua kirefu au kifupi na kuhama upande niliweza kubaini sasa ni saa ngapi
Jua lilipozama liliashiria ukomo wa siku na kwa mjibu wa sheria za nyumbani nililazimika muda huo...
Mwaka 1952 Bunge dhalimu na la kibaguzi lililokua chini ya Makaburu Afrika kusini lilipitisha sheria ya kibaguzi, sheria hiyo iliyomtaka kila mtu Mweusi kuwa na kitambulisho kilichopewa jina la DOMPAS ID, kitambulisho hicho kilifanana na Hati ya kusafiria (passport)
Kitambulisho hicho (Dompas...
MWANAO
Ipo siku utakuja kupata mtoto. Itakuwa ni siku ya furaha kubwa sana kwako na jamaa zako. Mtoto utakayempata ataongeza thamani na ladha maishani mwako.
Kila utakapomuona utakuwa huamini kama huyo mtoto ni mali yako mwenyewe. Kuna hali itakujia na kuhisi kama vile umeazimwa, kwamba iko...
MAPENZI YA MUNGU
Ukijilaza na kupata usingizi, ujue ni mapenzi ya Mungu, lakini ukiamka asubuhi mzima wa afya, tambua kuwa ni mapenzi ya Mungu pia
Ukiweza kula na kumeza, jua kuwa ni mapenzi ya mapenzi ya Mungu. Lakini wakati mwingine hata unapokosa chakula ni mapenzi ya Mungu
Ukipata ajali...
Sahau kuhusu mengineyo, kinachofurahisha ni kuwa katika dunia yetu hii kila mtu ni staa...ni staa katika dunia yake; tena kila mmoja ni shujaa...lakini ni shujaa katika dunia yake; isitoshe kila mtu ni mjuaji...lakini ujuaji wake unadhihirika zaidi katika dunia yake.
Kwa kifupi kila mmoja...
*KIPENZI MKE WANGU, KOMBE LA DUNIA LINAKARIBIA KUANZA.*
*_NAKUMEGEA VIPANDE VYA KANUNI ZITAKAZO PELEKEA UZURI WAKO ULIONAO UBAKI SALAMA KWA KIPINDI CHOTE CHA WORLD CUP_*
*KANUNI[emoji1427]*
1: Remote ya TV hakikisha muda wote iko mikononi mwangu.
2: Wakati game linaendelea, jizuie kuniuliza...
1. Ni bei ya sato kilo moja
2. Kuku wa nyama mmoja
3.kilo 2 za nyama ya ng'ombe
4.Sukari kilo 3
5. Donna kilo 4
6. Mchele kilo 4 super kabisa
7. Maziwa ya ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Castle lite 4
10. Petrol lita 5
11. Nauli ya safari 13 za mwendo kasi
12. Chocolote ivory dogo 20...
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Baada ya kusikia mwingine tena kapigwa na kitu kingine chenye ncha kali na kupoteza maisha, nilijikuta nikirudisha kumbukumbu zangu juu ya ngozi; ngozi za ng'ombe, ngozi za binadamu, ngozi za mimea nk.
Kila chenye uhai Mwenyezi Mungu alikipatia ngozi...
Nimepanga kwenye chumba kimoja maeneo ya kigamboni. Na ninaishi kisela, maisha ya kigumu. Sina mke wala demu, na sitaki demu. Sitaki kabisa kusikia huo utumbo. Hapa nilipo nina hasira hadi natamani niache kuandika!!
Namlaumu sana Nasra, kwani ndiye kasababisha yote haya. Yani kwa jinsi...
Kuishi kwenye jumba la thamani, na kutembelea gari la kifahari sio kithibitisho tosha kuwa una HALI NZURI.
Kuna tofauti kati ya kuwa na hali nzuri na kuwa na mali nyingi. Unaweza kuwa na mali nyingi, tena za thamani na usiwe na hali nzuri. Japo tafsiri ya wengi ni kuwa mali nyingi ni kuwa na...
MASIKIO YA KENGE
Kenge huwa hasikii kabisa mpaka pale masikio yake yatakapotoka damu. Na ukiona masikio ya kenge yanatoa damu basi ujue yameanza kusikia.
Kama hujui ni kwamba kusikia kwa kenge ni mpaka pale anapokuwa amepigwa vizuri kichwani kiasi cha kutoa damu masikioni. Hapo utamuona...
Sumbawanga ndiyo nyumbani kwetu, na kitongoji maarufu kiitwacho Mazwi ndiko hasa nilikozaliwa, kukulia na kujanjarukia!
Umbali wa takribani mita mia moja tu kutoka nyumbani kwetu, mahali nilipokulia na kuishi na bibi na babu yangu, ndipo unapopatikana uwanja maarufu mkoani Rukwa uliopewa jina...
A man can cheat on his woman and still love her but a woman cannot cheat on her man and still love him. I say this because while men do not have sex with emotions, women can't have sex without attaching emotions to it. This is the reason men simply need a place to have sex while women need a...
SHOCKING REPORT FROM ICT ACCESS/AUDIT REPORT!
1.341 users accessed the system between 6th August 2017 to 22nd August 2017
2. There were 3395 failed log in attempts and 3851 successful log in attempts within the same period
3. Strangers and unauthorized staffs logged into the system between...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.