Search results

  1. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Unakijua kisa cha Mapenzi Bikra? Leyla na Majnun

    Nimejifunza mapenzi hayana ubingwa
  2. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Uchaguzi 2020 Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kumpa kura John Pombe Magufuli

    Mwaka 2014 nikiwa katibu wa Umoja wa vijana Chama Chama Cha Mapindizi UVCCM-Mkoa wa Morogoro Tulipokea Wageni Vijana kutoka Africa Kusini. Lengo la Vijana hao ilikua ni kutembelea Eneo la Mazimbu ambalo wapigania Uhuru wa Taifa hilo lililopo kusini mwa Africa waliweka kambi na kuchukua mafunzo...
  3. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Salamu zangu kutoka bara kwa Wanzanzibari..

    Mchana kigogo ni mzandiki
  4. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Salamu zangu kutoka bara kwa Wanzanzibari..

    Upo wapi Ndugu Yangu ? Nipo morena hotel kaka Ok ningoje hapo nakupitia twende sehemu .. Yalikua Mazungumzo yangu kwa njia ya simu kati yangu na kaka yangu,Kiongozi wangu, na Rafiki yangu Mheshimiwa Antony Mtaka Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Baada ya dakika chache alifika hotelini kisha...
  5. Nicodemas Tambo Mwikozi

    I Need Privacy with u.

    Ni wakati ambao Alarm iliotumika kuniamsha ilikua jogoo linapowika, saa yangu ya mkononi ilikua kivuli changu, kadri kinavyokua kirefu au kifupi na kuhama upande niliweza kubaini sasa ni saa ngapi Jua lilipozama liliashiria ukomo wa siku na kwa mjibu wa sheria za nyumbani nililazimika muda huo...
  6. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Tunawashukuru nyote kwa mnavyoisaidia China kupambana na changamoto hii ya Corona Virus

    Bakari umefafanua mambo vizuri nataka kuoa China nipe mwongozo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Robert Sobukwe, PAC na Ubaguzi wa Rangi Afrika ya Kusini

    Baro baro salama unanitesa niinibox na true id Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Robert Sobukwe, PAC na Ubaguzi wa Rangi Afrika ya Kusini

    Maana ake Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Robert Sobukwe, PAC na Ubaguzi wa Rangi Afrika ya Kusini

    Mwaka 1952 Bunge dhalimu na la kibaguzi lililokua chini ya Makaburu Afrika kusini lilipitisha sheria ya kibaguzi, sheria hiyo iliyomtaka kila mtu Mweusi kuwa na kitambulisho kilichopewa jina la DOMPAS ID, kitambulisho hicho kilifanana na Hati ya kusafiria (passport) Kitambulisho hicho (Dompas...
  10. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Siyabonga - Robert Mangaliso Sobukwe: Simulizi iliyonitoa machozi

    Mwaka 1952 Bunge dhalimu na la kibaguzi lililokua chini ya Makaburu Afrika kusini lilipitisha sheria ya kibaguzi, sheria hiyo iliyomtaka kila mtu Mweusi kuwa na kitambulisho kilichopewa jina la DOMPAS ID, kitambulisho hicho kilifanana na Hati ya kusafiria (passport) Kitambulisho hicho (Dompas...
  11. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    Haaaaahaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Mwanao (Soma muhimu)

    Unataka kusema wenye vipara hawana Akili
  13. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Mwanao (Soma muhimu)

    MWANAO Ipo siku utakuja kupata mtoto. Itakuwa ni siku ya furaha kubwa sana kwako na jamaa zako. Mtoto utakayempata ataongeza thamani na ladha maishani mwako. Kila utakapomuona utakuwa huamini kama huyo mtoto ni mali yako mwenyewe. Kuna hali itakujia na kuhisi kama vile umeazimwa, kwamba iko...
  14. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Pongezi kwa Dr. Kigwangalla kwa Kufika Uhuru Peak

    Pongezi kwa kuutangaza utalii wa ndani kwa Vitendo
  15. Nicodemas Tambo Mwikozi

    Waziri Kigwangalla: Nikikukuta unaua Twiga nakuua

    Ni Iugha adhimu ya kuongea na Majangili ulitaka waambie atawanunulia Icecream na juice au tende
Back
Top Bottom