Mwaka 2014 nikiwa katibu wa Umoja wa vijana Chama Chama Cha Mapindizi UVCCM-Mkoa wa Morogoro Tulipokea Wageni Vijana kutoka Africa Kusini.
Lengo la Vijana hao ilikua ni kutembelea Eneo la Mazimbu ambalo wapigania Uhuru wa Taifa hilo lililopo kusini mwa Africa waliweka kambi na kuchukua mafunzo...
Upo wapi Ndugu Yangu ? Nipo morena hotel kaka
Ok ningoje hapo nakupitia twende sehemu ..
Yalikua Mazungumzo yangu kwa njia ya simu kati yangu na kaka yangu,Kiongozi wangu, na Rafiki yangu Mheshimiwa Antony Mtaka Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Baada ya dakika chache alifika hotelini kisha...
Ni wakati ambao Alarm iliotumika kuniamsha ilikua jogoo linapowika, saa yangu ya mkononi ilikua kivuli changu, kadri kinavyokua kirefu au kifupi na kuhama upande niliweza kubaini sasa ni saa ngapi
Jua lilipozama liliashiria ukomo wa siku na kwa mjibu wa sheria za nyumbani nililazimika muda huo...
Mwaka 1952 Bunge dhalimu na la kibaguzi lililokua chini ya Makaburu Afrika kusini lilipitisha sheria ya kibaguzi, sheria hiyo iliyomtaka kila mtu Mweusi kuwa na kitambulisho kilichopewa jina la DOMPAS ID, kitambulisho hicho kilifanana na Hati ya kusafiria (passport)
Kitambulisho hicho (Dompas...
Mwaka 1952 Bunge dhalimu na la kibaguzi lililokua chini ya Makaburu Afrika kusini lilipitisha sheria ya kibaguzi, sheria hiyo iliyomtaka kila mtu Mweusi kuwa na kitambulisho kilichopewa jina la DOMPAS ID, kitambulisho hicho kilifanana na Hati ya kusafiria (passport)
Kitambulisho hicho (Dompas...
MWANAO
Ipo siku utakuja kupata mtoto. Itakuwa ni siku ya furaha kubwa sana kwako na jamaa zako. Mtoto utakayempata ataongeza thamani na ladha maishani mwako.
Kila utakapomuona utakuwa huamini kama huyo mtoto ni mali yako mwenyewe. Kuna hali itakujia na kuhisi kama vile umeazimwa, kwamba iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.