nimejaribu mkuu kwenye computer nyingine ina function fresh but nikirudisha kwangu haifunction.also nilijaribu modem nyingine ya zantel kwenye computer yangu ilifanya kazi fresh.
wakuu naombeni msaada wenu kwa hili tatizo langu.
Tatizo ni pc yangu haiditect modem ya vodafone zte k 3571-z before ilikuwa inafunction vizuri but now nikiconnect kwenye pc haifunction hivyo wakuu nahitaji msaada wenu.
Wanajamii naombeni msaada jinsi ya kuangalia encrypted chanels kwenye decoder yangu inayotumia antena ya kawaida.yenyewe inashika almost chaneli zote za ving'amuzi vya tanzania na nyinginezo.chaneli chache zinazoshika ni kama clouds tv,color tv,tbc 1,atn.so wanajamii nilikuwa naombeni ushauri...
Who is the owner of parliament is wananchi, CCM or CHADEMA maana kila nikifatilia bunge nackia hoo serikali ya CCM imefanya hivi imefanya vile even if wakiulizwa mambo ya msingi wanadefend chama chao. so hili ni bunge la wananchi au Bunge la CCM kupinga hoja za vyama pinzani vinavyowakilisha...
wanajamii yesterday nilikuwa uwanja wa taifa naangalia mpira as u know mpira uliisha kwa draw ya bila kufungana.utata unakuja kwenye zile penalt mimi binafsi yangu cjui much sheria za penalt but zile penalt 2 zilizokataliwa zilikuwa sawa? Especially ile ya pili iliyogonga mwamba nisaidieni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.