Ndugu wanajf tafadhari naomba mwenye ujuzi wa mambo haya anisaidie dawa, maana kuna watu huku mtaani wanataka tuwaogepe kama na wao wanaishi magogoni kumbe wasikini watupu wamejaa chuki, fitna, husuda na laana.
Kwa sasa nataka dawa ya kuwakata na kuwagandisha till morning na wakinichezea...
Tunatengeneza mifumo mbalimbali kulingana na mahitaji yako ya kiofisi na yale yasiyo ya kiofisi (computer systems) kwa kutumia language zifuatazo HTML, CSS, Java Script, C, Php, Java na Python.
Pia tunakufungia mifumo ya ulinzi ifuatayo:-
Electric fence- a barrier that uses electric shocks to...
Leo nakuletea hii ujifunze
The law of conservation of usingizi states that “usingizi cannot be created nor destroyed but can be transformed from one time to another”.
To test the applicability of this law ask students, night clubbers and all who spend night time charting, watching movies or...
Wana bodi, hawa vijana wa kisasa au mjini wana misemo yao wanaita kuntu, sasa katika pitapita zangu nikamsikia kijana mmoja anakawa anamjibu mwenzake kwa ukali eti "hujielewi wewe kama nyuchi chakavu". Hapa nimejiuliza maswali kibao nini maana ya nyuchi chakavu? na kipimo gani hutumika kutambua...
Wana JF karibuni kwa mjadala huu
Napenda kujua kama watoto wachanga wawapo tumboni kwa mama zao {kabla ya kuzaliwa} wanaweza kuugua {ugonjwa wa aina yeyote}?
Na kama huwa wanaugua nini hutumika kama dawa kuwaponesha? Au mechanism gani hutumika kumponesha kutoka kwa mama yake?
Na kama...
Kwa wale ambao walishatumia Samsung galaxy tab na kukukutana na tatizo la message kama hii
Unfortunately Samsung galaxy tab has stopped
Mlilitatua vp wakuu msaada tafadhali
Kama mada isomekavyo hapo juu ningependa kujua kwa nini serikali imeamua kuwa miaka 25 kushuka chini ndo wenye nguvu za kufanya kazi?
Tumeshuhudia takukuru wakitoa nafasi za kazi na targeted applicants walikuwa 25 and below na pia JKT tumeona wamewaignore majority ambao wengi ni degree...
'Wakati ninapoomba , mara nyengine mimi hushikwa na usingizi'', alisema katika kipindi kimoja cha kanisa hilo cha TV2000 kilichochapishwa katika mtandao wa You tube.
''Mtakatifu Theresa pia alikuwa akilala'', alisema kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 80 kuhusu mtakatifu huyo wa karne ya 19...
Wakuu naomba msaada kwa mwenye proposal ya kilimo cha matikiti anisaidie, nataka nijilipue huko nna ka capital kangu hapa kama mil 2
NI PM
Natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeguswa na uhitaji wangu
Habari za saa hizi wanajukwaa, poleni kwa majukumu mbalimbali mliyokutana nayo siku ya leo katika kuhakikisha mnayaendesha maisha tena bila leseni ili mkono upate kufika kinywani na siyo maisha kutuendesha.
Mafundi wa computer naombeni msaada wenu juu ya kuformat/kuinstall windows kwenye...
Je kuna ukweli katika msemo huu maarufu “Mungu anakusaidia na wewe unajisaidia” kwa tafiti zangu ni msemo uliojizolea sifa na kufahamika vizuri mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani kwa watu wa rika zote tangu mototo mwenye uelewa, vijana hata wazee. Cha kushangaza zaidi juu ya msemo huu ni...
Jimbo katolik Moshi na Arusha laazimia kuondoa kikwazo cha mahali kwa vijana wengi wanaoshindwa kufunga ndoa zao kwa kutozwa mahali kubwa kubwa na wazazi wa mabinti hivyo kuwafanya wawili hao kuendelea kuwa wachumba sugu na wazinzi wazoefu aidha waumini wametakiwa kuondokana na mila zilizopitwa...
Tabia mojawapo ya mungu ni upendo na ukarimu, yaani Mmungu siyo mbinafsi rejea mwa1:28-31 na mwa 9:1-3. Mungu akamshirikisha mwadamu apate kutawala duniani kwa niaba yake, tena akamfundisha mwadamu ukarimu huo ili naye awe mkarimu kwa Mungu na watu wamzungukao ambao ni mfano na sura ya mungu...
Kuna kijana jirani yangu anataka akasomee mambo ya upadri lakini wazazi wake wamemkataza kwa kila sababu wanazojua wao na wanamwambia atafute kazi ili akaajiriwe.
Sasa jamaa kaja kwangu, me of course “nimemshauri aendelee na lengo lake ili shauku ya moyo wake itimie kwa sababa swala la kazi si...
Hodi wanajamvi, Nimatumaini yangu yakwamba muwazima wa afya!!!!
Nina maswali machache juu ya mpango mkakati huu ambao uko mbioni kuwa implemented
1. Ni kifaa gani kitakacho tumika wakati wa kuwapima wanafunzi na human assistance itakayohusika itakuaje?
2. Kitendo cha kuwapima...
Kila ninapotafakari juu ya tamaduni za kitanzania zinavyozidi kupotea na kudharauliwa na watanzania wenyewe sinabudi kukumbuka miaka ya tisini kurudi nyuma pale familia nzima tulipomtembelea bibi kijijini na kumkuta kaandaa na katunza kuni darini specially kwa ajiri ya kupikia chakula cha wageni...
71% ya vijana nchini wanatumia muda wao kufanya mambo yasiyokuwa na tija badala ya kujishughulisha na mambo ya kimaendeleo
Je kwa mtazamo wako hili jambo lina ukweli gani hususani kwa nchi yetu?
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya music fans wote. Lengo ni kukumbushana musiki wa kibongo hasa zile track zenye jumbe kuntu za kufundisha jamii katika maisha ya kila siku na changamoto zake, Unacho takiwa kufanya ni kuandika jina la mwanamziki na single...
Habari wanaJF,
Ninaomba uzi huu uwe maalumu kabisa kwa ajili ya kuvielewa kwa majina vifaa vya kielectronic na vya teknologia ya habari na mawasiliano (IT) na terminology zake. Unacho takiwa kufanya ni kuandika jina kwa lugha ya malkia na tafasiri yake kwa kiswahili lengo ni kuipa kipaumbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.