Habari wa wana Jf
Mm naomba kufahamu zaidi kuhusu hii injini aina ya 5A za kwenye Toyota corolla.
1. Ulaji wake wa mafuta.
2.Zaidi ina totauti gani na 7A
3.Upatikanaji wake (Spare) madukani
Natanguliza shukrani zangu ndg zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.