Salaam Wadau wa JF, Poleni na kazi za kutwa nzima!
Tafadhali naomba msaada, eti ni sehemu gani hapa Dar naweza kupata hizi begi za Swiss Gear.
Nahitaji tatu kwa matumizi binafsi na kwa familia sio biashara.
Shukrani.
Laptop yangu inanisumbua kidogo na nimeshindwa kupata suluhisho mpaka sasa naombeni msaada wenu Wataalamu wa Technology, Gadgets & Science (kama nitakvyoeleza hapo chini na kauambatanisha picha).
Mimi sio mtaalam sana kwa program za COMPUTER ila jana nilichomeka flash ili niweze kuhamisha...
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Maria Salungi akichangia maada kuhusiana na kijana anajitambuaje katika kuhamasika kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu ili waweze kumchagua kiongozi wanae mtaka, kwa kuwa baadhi ya vijana ni mara yao ya kwanza upiga kura.
Source: MATUKIO-MICHUZI
Habari gani wadau wa Jukwaa hili!
Naomba msaada wenu wa hali na mali niweze kupata nyimbo hizi za WASANII wa zamani zenye radha tofauti ili nami niweze kukumbusha enzi kidogo;
A. PEPE KALLE
1. Loin des yeux
2. Simplicite
3. Coco
5. Ambiance sebene
6. Amour, vie dure
7. Nabaeteli
B...
Habari gani wadau wa Jukwaa hili!
Naomba msaada wenu wa hali na mali niweze kupata nyimbo hizi za WASANII wa zamani zenye radha tofauti ili nami niweze kukumbusha enzi kidogo;
A. PEPE KALLE
1. Loin des yeux
2. Simplicite
3. Coco
5. Ambiance sebene
6. Amour, vie dure
7. Nabaeteli
B...
Habari Wakuu!
Wakati tunaendelea kutofakari na kuchambua maamuzi ya kujiuzuri kwa Muhongo, kutangazwa na kuapishwa kwa Mawaziri leo naomba pia tujiulize na kuangalia siasa zinazofanywa huko Zanzibar na mtoto wa rais wa kwanza wa Zanzibar Balozi Ally Amani Karume kwa manufaa ya wazanzibari na...
Wakuu heshima kwenu..!
Ninaomba msaada jinsi ya ku update au kuongeza channel kupitia receiver ya dish ( sijui wenyewe mwaita dish setallite ama ungo) kwa sasa inaonyesha channel 10 tu, local channels zote kasoro tbc.!!
Wasalaam.
Habari wandugu.!!
Mama yetu amestaafu na kufanikiwa kupata mafao yake tsh 150 million, katika hilo kachukua mil 50 na kuweka fixed deposite crdb, 20 kawekeza kwenye kumalizia nyumba yake mpya, 20 kagawa kwetu sisi watoto na matumizi mengine madogo madogo, mil 5 kanunua pkpk 2 zinazotumika...
Wanajf leo ni mwisho wa mwezi, kama ilivyo desturi raisi huwa anahutubia wananchi wake kupitia media mbalimbali, swali la kujiuliza hapa hutuba hyo itakuwa na ujumbe gani wa msingi kwetu sisi watanzania, au itatawaliwa na kejeri na ahadi kibao kama ilivyozoeleka.
Kuna mambo mengi yamejitokeza...
Habari zenu wana JF.
Heri ya Xmass na maandalizi mema ya kuukaribisha mwka mpya.
Familia inaomba ushauri wenu.
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wenu wa mawazo, nina mdogo wangu wa kike ana miaka 14 amemaliza class 7 mwaka huu, tayari kashavunja ungo.
Huyu binti kawa mapepe sana baada...
Ndugu zangu.!
Mkoani Ruvuma, wilaya ya Mbinga, Kata ya Ngumbo, kijiji cha Mkili hapo jana usiku kumetokea na ajari ya gari aina ya Landrover iliyo tumbukia mtoni (mto unaitwa MUNYAMACHI) na kusababisha majeruhi 7 na vifo vya watu watano (5) wakiwemo walimu wa shule za msing watatu waliokuwa...
Ndugu wanaJF dakika chache zilizopita nimeenda dukani kununua soda ya STONEY TANGAWIZI, ila cha kushangaza nikiwa nakunywa ghafla nikashtuka kuona ndani ya soda kuna kizibo kimekunjwa na kinaonekana kimeshka kutu. Nikaamua kumimina soda kwenye bakuli naye pia nikaona ina rangi ya kikahawia...
Jamani wadau mimi ni mpenzi sana wa sports hususan football both locally and international. Je ni blogs au forum gani naweza kupata information za soka achilia mbali na hizi ninazozijua:
1. Supersport.com
2. m.Goal.com
3. Skysport.com
4. 3arabsport.com
5. Tensport.com.
Niongezeni jamani...
Jamani wadau mimi ni mpenzi sana wa sports hususan football both locally and international. Je ni blogs au forum gani naweza kupata information za soka achilia mbali na hizi ninazozijua:
1. Supersport.com
2. m.Goal.com
3. Skysport.com
4. 3arabsport.com
5. Tensport.com.
Niongezeni jamani...
Jana kumetokea na ajali ya gari aina ya Randrover inayofanya safari zake tokea Mbinga kwenda mji mdogo wa Mbamba-bay hapa mkoani Ruvuma ambapo gari hiyo iliyokuwa inaendeshwa kwa mwendo kasi ilitumbuki kwenye bonde na kuwaka moto ambapo watu saba wameungua moto na kubaki majivu na kuacha...
Wadau naomba kujuzwa kuhusu nauli ya ndege toka Arusha to Dar es salaam. Kwa wale waliowahi kusikia au kusafr kwa ndege naomba msaada wenu. Nataka kuja dar kesho kuna ndugu yangu kafariki ghafla.
Jamani hapa Arusha leo daladala zote zmegoma ili kushinikiza madai ya madereva na wamiliki kwa selikal hususan traffic. Yaani ni karaha juu ya udhiha hakuna daldala since saa 11 alfajili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.