Si baada ya wewe kupeleka umbea wako ? Maana hujaeweleka hoja yako hasa ilikuwa ni ni baina ya usagaji na kubaki shule. Hapo hakuna lingine, bali ni wivu wa 50,000/= tu.
Wewe tafuta kazi sehemu nyingine, sio lazima ufanye kazi hapo Huruma Sec. Wamekufukuza baada ya kuona unatamani watoto, sasa unakuja kulalamika huku JF, haukuan msaada wowote hapa. Ina maana huo usagaji upo kwa form 4 tu ? Mbona form 1 had 3 wameenda likizo, ina maana hawataoa taarifa ? Aidha...
Ndugu, hao sio kwamba wanampokea bali anatambulishwa kwao. Kama inavyoonekana, Mhe. Rais tayari keshapokelewa, kinachoendelea hapo ni utambulisho kwa viongozi mbali mbali waliojitokeza katika mapokezi hayo.
Kitendo chako cha kuondoa baadhi ya vyama, kinaonesha kuwa huna nia nzuri na Taifa. Hata baada ya kupata uongozi, mtandelea kuwa wabaguzi. Ni kwa nini hajaacha vyama vyote ili wapiga kura waamue wenyewe ? Hii in amaana uko tayari kua hicho Chama.
Mambo mengine ni kutishana tu, yaani kwa elimu ya kobongobongo at 40s ndo unaanza kupata kipato halafu uanze kujifungia, maisha unaanza kuyala lini sasa ?
Uchaguzi sio wa jukumu la Chama cha siasa bali ni jukumu la Tume ya Uchaguzi, hivyo kipeperushi kinachowaelekza watu namna ya kupiga kura, kinatakiwa kutenda haki kwa wagombea wote. Kwa nini hicho haioneshi wagombea wote ?
Binasi naona katika huo mpangilio, Tume umetenda haki. Kilichofanywa na Tume ni kuwapanga washindani Wakuu katika hali ambayo ni rahisi kuonekana. Kama CCM ingekaa mwanzo, halafu CDM iwe katikati au hata namba 2, ingekuwa vigumu kuonekana . Lakini sasa kila chama kinaonekana kwa urahisi, kazi ni...
Hiyo ni kazi ya Chama na Serikali yoyote iliyoko na itakayokuwa madarakani. Kufanya maendeleo kwa wananchi sio hisani bali ni lazima kwa sababu ni kodi za wananchi na mikopo ambayo italipwa nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.