Search results

  1. S

    Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

    Si baada ya wewe kupeleka umbea wako ? Maana hujaeweleka hoja yako hasa ilikuwa ni ni baina ya usagaji na kubaki shule. Hapo hakuna lingine, bali ni wivu wa 50,000/= tu.
  2. S

    Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

    Wewe tafuta kazi sehemu nyingine, sio lazima ufanye kazi hapo Huruma Sec. Wamekufukuza baada ya kuona unatamani watoto, sasa unakuja kulalamika huku JF, haukuan msaada wowote hapa. Ina maana huo usagaji upo kwa form 4 tu ? Mbona form 1 had 3 wameenda likizo, ina maana hawataoa taarifa ? Aidha...
  3. S

    Kenya 2022 Afisa wa Uchaguzi aliyetoweka akutwa amefariki

    Kwa maana nyingine ni kwamba matokeo yaliyotangazwa yalithibitishwa na mtu mmoja maana wanne walisusia, mmoja alikuwa mateka na mwningine Mwenyekiti
  4. S

    Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

    Kwa hawa wanampokea au wanamsalimia ? Kumbuka kuna tofauti baina ya kupokea za kusalimia.
  5. S

    Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

    Ndugu, hao sio kwamba wanampokea bali anatambulishwa kwao. Kama inavyoonekana, Mhe. Rais tayari keshapokelewa, kinachoendelea hapo ni utambulisho kwa viongozi mbali mbali waliojitokeza katika mapokezi hayo.
  6. S

    Mwenge wabaini ufisadi wa TZS 65B kwenye miradi 49 ya halmashauri 38 Je, nini kitaendelea?

    Kwa hiyo CAG, TAKUKURU na TISS wafutwe, kubaki na mwenge tu. Huyo Kiongozi wa mbio za mwenge anapata wapi taarifa za matumizi mabaya ya fedha ?
  7. S

    Biashara ya boda boda

    Mbona hiyo 1,400,000/= bado haijatosha ya kupata bodaboda kwa sababu kwa sasa Boxer/TVS ni 2,700,000/= +, kama ni hizi za Kichina ni 1,700,000/= +
  8. S

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Chumba kimoja tu 130,000/= !!!!??
  9. S

    Uchaguzi 2020 Namna ya kudhibiti uwepo wa vituo hewa/bubu vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu - 2020

    Sasa naan Sasa naanza kuelewa ni kwa nini walikuwa hawataki kutoa nakala za matokeo kwa mawakala
  10. S

    Uchaguzi 2020 Jinsi ya kuweka vema✅ kuchagua Rais wa Tanzania

    Mbona hata hao wenye sera, wanaishia kuweka ahadi ya kutekeleza mambo ya wenzao.
  11. S

    Uchaguzi 2020 Jinsi ya kuweka vema✅ kuchagua Rais wa Tanzania

    Kitendo chako cha kuondoa baadhi ya vyama, kinaonesha kuwa huna nia nzuri na Taifa. Hata baada ya kupata uongozi, mtandelea kuwa wabaguzi. Ni kwa nini hajaacha vyama vyote ili wapiga kura waamue wenyewe ? Hii in amaana uko tayari kua hicho Chama.
  12. S

    Zingatia wazungu wanaposema life begins at 40

    Mambo mengine ni kutishana tu, yaani kwa elimu ya kobongobongo at 40s ndo unaanza kupata kipato halafu uanze kujifungia, maisha unaanza kuyala lini sasa ?
  13. S

    Uchaguzi 2020 Ujenzi wa daraja jipya la Wami wafikia 45%

    Hii ni hisani au ni wajibu wa Serikali ? Hata kama sio yeye ni lazima lingejengwa tu.
  14. S

    Droni zawapa changamoto kubwa waongoza ndege

    Hicho ki-drone si kinapeperushwa na upepo huko mbali kabisa
  15. S

    Je, Kipeperushi Hiki cha CCM Kimesajiliwa? Mbona Kinapotosha Wananchi?

    Uchaguzi sio wa jukumu la Chama cha siasa bali ni jukumu la Tume ya Uchaguzi, hivyo kipeperushi kinachowaelekza watu namna ya kupiga kura, kinatakiwa kutenda haki kwa wagombea wote. Kwa nini hicho haioneshi wagombea wote ?
  16. S

    TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

    Hee, kumbe JF kuna watu ambao wamekaula chumvi kiasi hicho !!!!!
  17. S

    Uchaguzi 2020 Maalim Seif: ACT Wazalendo hatuna mpasuko lakini Membe anataka kuwaaminisha Watanzania hivyo. Adai Mzee wa Ubwabwa ni bora kuliko Mgombea wao

    Hongera CDM kwa kushutka mapema, vinginevyo, angekuwa nawapiga kutoea ndani. Ni afadhali ss anatokea nje.
  18. S

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

    Binasi naona katika huo mpangilio, Tume umetenda haki. Kilichofanywa na Tume ni kuwapanga washindani Wakuu katika hali ambayo ni rahisi kuonekana. Kama CCM ingekaa mwanzo, halafu CDM iwe katikati au hata namba 2, ingekuwa vigumu kuonekana . Lakini sasa kila chama kinaonekana kwa urahisi, kazi ni...
  19. S

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndani ya Mwendokasi kuelekea Kariakoo

    Hiyo ni kazi ya Chama na Serikali yoyote iliyoko na itakayokuwa madarakani. Kufanya maendeleo kwa wananchi sio hisani bali ni lazima kwa sababu ni kodi za wananchi na mikopo ambayo italipwa nao.
  20. S

    Hebu piga picha kama Tundu Lissu asingerudi

    Bila Lissu waliobaki wote ni mawakala wa Chama Tawala, hakuna ambaye angeguswa kama ilivyo sasa. Unaona wanaguswa ? Labda ACT - Wazalendo kidogooo.
Back
Top Bottom