chaga dema bwana.!
issue ya maana mmeacha
mmekalia kudiscuss mtu,
eti ooo maombi yangu ya kumwombe aponenayatoa!!!.
Mi nilizani mtasema namna ya kuzuia mchanga usipigwe..,
chadema kweli mmeisha ndembendembe???
Hivi huyo lissu anaweza,hata kugusa elimu ya profesa kabudi?
Nchi ipo kwenye vita yeye bado analets mambo ya kichama chama hspa?
kwani yeye kama mbunge di aende
kwa wenzake atoe maoni na ushauri maalum kuliko kututisha. hapa
Eee,halafu anajiita mwanasheria msomi,sasa yeye badala ya kutoa mawazo ya nini,kifanyike baada ya kukamata mwizi,ili turudishiwe mali yetu,yeye amekazania kutu tisha tu.
Je alitaka tusikamate,?Au na yeye kashahongwa?.
Huyu jamaa mweupe kwelikweli,
anaTetea kuibwa?
mbona tulipopopigwa rada
baadae...
mada ya msingi?
labda msingi wa mabox
mimi niko zangu bush,naombea bei ya unga iendelee hivyo hivyo na cement 10000tsh.ili kusudi gunia moja sawa na mifuko 10 ya cement.we mkulima gani unalia lia
wewe umesema vyema,
pale malima angeshinda ,polisi ingezaraulika sana,yaani kila ukiona ile gwanda unakumbuka yuleyule,
Yule polisi alitetea jeshi lote lisidharaulike.
Kumbuka kila raia anapaswa kutii sheria bila shuruti.
Pale ilibidi amvunje mguu mmoja tu kama angeendelea kubisha,ili ajue...
Masanja matatizo yote haya yanakuja sababu ya upole wa serikali zilizo pita.nyumba za enzi hizo zingevinjwa leo watu wangeogoa kujenga ndani ya hifadhi ya barabara.
Dawa ya jipu ni kulitumbua tu.
Si unaona watu wanauliza serikali ilikuwa wapi maana yake mbona haikuchukua hatua.
sheria ipo wazi na hata kwenye hiyo kesi serikari ilishinda ,hata rufaa iliyo katwa ,serikali ilishinda.Ila kuna watu wamewauzia wajinga barabarani.na waowakanunua.
Msidanganywealama za roadi reserve ziko morogoro road tangu enzi za mkoloni,alama zikp,ilikuwa miti na becon ziko morogororad yote...
We Jamaa uwe unazungumza kwa haki si polojo na upotoshaji,wa makusudi unao fanya haikusaidi,
Mkuu aliomba msaada wa kuunganishiwa na huo umoja,ili akope,na jua kukopa ni sifa ya mtu makini na si umasikini kama
unavyotaka kutuaminisha.
Amini miradi hiyo sio luxualy yote ni vichochezi vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.