Wanajamvi naomba kujua nauli za ndege kwa maeneo haya au kama kuna mahali (mtandaoni naweza kupata)
Dar - Mwanza
Dar - Shinyanga
Dar - Kigoma
Dar - Tabora
I know kuna safari za Dar - Tabora then unaweza kumalizia segment ya siku nyingine kwa kuwa ndege zinazokwenda Kigoma hutua Tabora kwanza...
Mwanzoni mwa miaka ya 90 nikiwa pale UD, kuna siku majira ya saa mbili usiku, kulilipuka kelele za kushangilia ambazo zilitokea Hall 1, Hall 2, Hall 3 na Hall 5. Jirani yangu nae nilimsikia akishangilia; nilipomwuliza kulikoni Mlimani kumelipuka kwa shangwe? Boom limeongezwa? Jirani alisema dawa...
Bwana William J. Malecela,
Kwanza hongera kwa kujitosa kwenye ulingo wa siasa za CCM ili kupima kina maji. Mara baada ya matokeo hukusita kuja JF kuonyesha uungwana wako kutujulisha matokeo na what is next. Ukigombea nafasi yoyote ile kuna kushinda na kushindwa. Kuja wako kukiri kwamba kura...
Kwanza naomba niweke wazi kwamba mimi ni shabiki wa "mabadiliko" na nina amini kwamba mabadiliko yatakuja kwa kuiondoa CCM madarakani. Siamini kwamba hawa wanaojiita wana mabadiliko ndani ya CCM watakuja kutuletea mabadiliko kwa sababu yeyote atakayetaka mabadiliko ya kweli yenye kulenga...
Wandugu,
Kama kuna mwana bodi yeyote ambaye alishawahi kufanya kazi au bado anafanyakazi Mradi wa HADO (Hifadhi Ardhi Dodoma), nadhani makao makuu yake yalikuwa/yapo Kondoa; au mradi wa HASHI (Hifadhi Ardhi Shinyanga). Naomba awasiliane nami kwa njia ya PM, ninahitaji msaada wa info kuhusiana...
Wandugu,
Kama kuna mwana bodi yeyote ambaye alishawahi kufanya kazi au bado anafanyakazi Mradi wa HADO (Hifadhi Ardhi Dodoma), nadhani makao makuu yake yalikuwa/yapo Kondoa; au mradi wa HASHI (Hifadhi Ardhi Shinyanga). Naomba awasiliane nami kwa njia ya PM, ninahitaji msaada wa info kuhusiana...
Awali ya yote naomba niseme kwamba siweki hili bandiko kwa lengo la kuwatetea mafisadi, bali ninajaribu kufikiria nje ya sanduku kwa mapana na marefu ili kuona hila ya CCM katika kughilibu waTanzania wenzangu.
Nimeipitia document ya KANUNI ZA UONGOZI NA MAADILI ya CCM (Toleo la 2002) ambazo...
Mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar yaliyofanyika hivi karibuni yamenifanya niwe na maswali hasa baada ya Dr. Shein kuanza kuteua wateule wake.
Juzi aliteua wajumbe 8 wa Baraza la Wawakilishi kama Katiba ya Zanzibar inavyomtaka. Mmoja wa wateule hao ni Balozi Seif Ali Idd. Huyu mteule kwa bahati...
Ukishangaa ya Sheikh Yahaya na Kikwete .... utaona ya Mganga wa kienyeji na serikali ya Mugabe!
Witchdoctor sent to prison for duping Mugabe
HARARE
A witchdoctor who misled Zimbabwean President Robert Mugabes entire Cabinet into believing that petroleum was oozing from a rock has been...
Baada ya kusoma habari hii: NEC sasa kuengua CCM kwenye Gazeti la Raia Mwema nimepata mshituko kidogo. Kwa wale ambao ni wajuzi wa Sheria labda wanaweza kutusaidia kutuelewesha.
Kwenye habari hiyo Mzee Kinana anasema kwamba:
Kama deadline ya kuchukua na kurejesha fomu za kugombea kutoka...
=============
Housemates evicted so far:
Hannington
Sammi
Lerato
Tatiana
Yakob
Sheila
Code
Paloma
Jen
Meryl
=============
Jumapili ya 18/7/2010 ile show maarufu ya Big Brother Africa itazinduliwa rasmi. Maandalizi yamekamilika na washiriki tayari wanajifahamu.
Washiriki watakuwa ni...
Takribani mwezi mmoja uliopita kulikuwa na tangazo kwenye blogs na hapa JF kwamba kuna dada yetu mmoja alipotea na akawa anatafutwa na ndugu zake.
Taarifa iliyotolewa kwenye local TV stations za Southern California zinasema kwamba mwili wa huyo dada ulipatikana jana nyuma ya nyumba aliyokuwa...
Vijana wanaougua saratani ya njia ya haja kubwa waongezeka
WANAFUNZI wa sekondari wa kike na kiume ni miongoni mwa wagonjwa walioathirika zaidi na saratani ya njia ya haja kubwa wanaofika katika taasisi ya saratani ya Ocean Road.
Akichangia mada kuhusu ugonjwa wa saratani ya tezi ya...
MAJI ya Mto Tighite ambayo yanalalamikiwa na wananchi wa Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara, yamethibitika kuwa hayafai kwa matumizi ya binadamu kwa kuwa yana sumu inayoua pole pole viumbe hai.
Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakishirikiana na Chuo Kikuu cha...
Ilikuwa ni weekend ya vikao vya CCM, kuanzia kikao cha Kamati ya Maadili, then CC na hatimaye NEC. Je, kuna habari yoyote ya maana kutoka huko kwenye hivyo vikao ambavyo vimetawaliwa na usiri mkubwa??
Malecela ahofia CCM kuwa katika hali ngumu 2010
*ASEMA WABUNGE WENGI WATABWAGWA
Jackson Odoyo na Neema Rugemalira
MAKAMU Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, John Samuel Malecela amekitabiria chama hicho wakati mgumu katika uchaguzi mkuu ujao 2010.
Akijibu swali la waandishi kuhusu ufisadi na...
Wataalam wa IT,
Nime-install Internet Explorer 8 kwenye computer yangu ikavuruga Adobe Flash Player. Kuna baadhi ya vitu siwezi kufanya bila ya kuwa na Adobe Flash Player 10.
Kila nikijaribu kui-dowload inanigomea, naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa easiest way ya ku-download na ku-install...
Mufti Simba aagiza Waislamu waikatae CCM
Na Ummy Muya
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema kutokana na serikali kutupilia mbali ombi la kunzisha Mahakama ya Kadhi, Waislamu hawataipigia kura CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Katika taarifa yake, Bakwata ilifikia...
US honours Kilango
DAILY NEWS Reporter, 26th March 2009 @ 10:39
The United States embassy today awarded Member of Parliament for Same East constituency in Kilimanjaro Region, Mrs Anne Kilango Malecela, the 2009 Tanzanian Woman of Courage Award.
According to a statement from the US Embassy...
Tangu Bwana Mongi atangaze kwamba amelipwa na Bwana Saed Kubenea gharama za ku-host gazeti la MwanaHALISI, hakuna update iliyofanyika mpaka hivi sasa.
Nina ombi kwa Bwana Saed wa Kubenea kwamba tulio nje ya Tanzania ni wasomaji wazuri sana wa MwanaHALISI na usipo-update gazeti tunaokosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.