Habari yako mkuu, mimi huwa ninaweza nikakaa nikawaza au nikatamani jambo fulani linitokee mfano ninaweza nikatamani siku moja nije kuwa na gari zuri au siku moja nije niishi na mtu fulani n.k, na huwa ninawish kwa kipindi kirefu karibia kila siku na nakuwa naimani kitatokea au nitakipata na...
Asante sana mkuu nimekuelewa hasa ulipoandika kuwa ni vizuri kuwekeza pesa kununua vitu vya kiteknolojia vitakavyoweza kukuboost kwenye biashara yako mfano mobile apps au websites.
Regards.
Habari wadau mimi nimechaguliwa kujiunga na chuo pale IFM certificate first year 2017/2018 lakini bado sijaripoti wala sijafanya usajili mpaka sasa na hii ni wiki ya pili tangu chuo kifunguliwa yaani masomo kuanza nilikuwa na hitaji kujua kama ninaweza kufanya usajili ilihali muda umepita na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.