Yani mijitu mingine hutafikiri haikwenda shule wewe unawezaje kufananisha jiji Na jiji la Dodoma? Hata hiyo Dar wakati inapewa hadhi ya jiji haikustahili kuwa jiji kipindi hicho Kama nijiji ilipaswa iwe eidha mwaka Jana au mwaka juzi kwa mfano Nairobi hakuna bahari lakini jiji la Nairobi huwezi...
Utakuta imetokea ajali ya gari na mwendesha pikipiki au chombo chochote cha Moto na katika ajali hiyo chukulia imesababishwa na marehemu kutokana na mchoro wa trafic lakini Mimi dereva ambaye sikuwa na kosa la kiuendeshaji nachukuliwa na kuwekwa mahabusu nakuambiwa kuwa nimeua.
Mfano mwendesha...
Hii mijitu ya com iking'ang'ania vitu ni hatari mtu kapigwa lisas fanyeni uchunguzi muuweke hazarani hamtaki leo mtu kapona anaongea ukweli inajitokeza mijitu yenye vihelehele inaazakuongea kisa imepewa madaraka na jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa tangu wapewe msisitizo wa kukamata wamekuwa watu wa hovyo sana juzi pale buguruni kuna trafic kaninyoshe mkono wa dharau at sina akili ilibakia kidogo nishuke kwenye gari nikamzabe vibao bahati yake alikuwa mmama mtumzima nikamwonea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa tangu wapewe msisitizo wa kukamata wamekuwa watu wa hovyo sana juzi pale buguruni kuna trafic kaninyoshe mkono wa dharau at sina akili ilibakia kidogo nishuke kwenye gari nikamzabe vibao bahati yake alikuwa mmama mtumzima nikamwonea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mr chato anavyoongea utafikiri ana uchungu na nchi.
Sasa hivi maongozi yake makubwa kuwasifia wafanyakazi anajua kuwa jua liko manghalibi na wengi wa wafanyakazi hawajamkubali
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.