KAMA USALAMA WA TAIFA , HAYO YOTE ULIYOELEZA YAPASWA KUFANYWA NA WAO.
Tatizo ni kujulikana aliyefanya.
Inaondoa dhana yote ya usalama wa taifa
Pia haya yote..bado wanabaki kuwa usalama wa Taifa kama hawatajibu.
Kwa mfano akishajua anao.
Hayo mambo ya kudanganyana eti utaishi kwa matumaini hayalipi.
Cha msingi ni kwamba ukishajua then what?
Hayo ambayo unaweza kufanya ukijua hali yako ya maambukizi bora ufanye assumption kwamba uko na magojwa yote halafu uishi kwa tahadhari ya kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.