Salama mkuu kuna kitabu kinaitwa beekeeping in tanzania nadhani kitakupa ufafanuzi wa kutosha hebu kacheki hapo wizarani ofisi za idara ya nyuki wanaweza kukupa ushirikiano wa kutosha
ni yule ambye hajaenda suna kwani c linatekenya tekenya huko ndani kondom c lazima kwao kwani ukitaka utumie hiyo kwa raha lazima uende suna otherwise itakuwa inakuboa tu
Kila niangaliapo wanaonizunuka nahisi kuibiwa kama wanavyoibiwa wao. na ukiangalia kwa undani wengine wanajua kuwa wanaibiwa, wengine wanahisi lakini pia wapo ambao totally hawaelewi kama wanachezewa kamchezo hako ka kuibiwa. wana JF kama kuna mtu ambaye anafaidi tunda lake mwenyewe na he/ she...
Hebu tuwe wawazi mi nimeshuhudia kwa watu wengi ambao wananizunguka na wachache ambao wamekuwa wazi kwangu % kubwa wana do na wenzi wao wa zamani ni wachache sana wanaotolea nje hao wenzi wao na wengine naona kuwa wanazugazuga tu labda tujadili jinsi ya kupunguza hili
Ni kusambaratika kwa maadili na vituko vya dunia hii mapenzi ya kweli hayajali hvyo vyote umri,fedha wala nn ni kwasababu wengi tunaoishi kwenye kizazi hk kama c wasanii cie wenyewe bac 2mezungukwa na wasanii wa mapenzi thats why any luv scene people will direct their mind in finding where are...
I think ni kwa sababu watu hawamuogopi mungu wanafanya mambo hovyohovyo wakimcngizia shetani. Ni mapenzi ya kinafiki yametawala na ndo yanapelekea utokaji nje kwa wakristu tunaambiwa kuwa wawili mnakuwa mwili mmoja wkt wa ndoa hebu imagine kama hy ndo imani inayotakiwa ijengeke kwa wanandoa...
Hujanikera but nakushangaa ulivyolivalia njuga suala la rafikiyo. Mapenzi hayana urafiki wala ushauri hata tabia kama akikupendelea kukusiliza kwa dakika hata 2 juu ya hilo mueleze haya ajichunguze yy mwenyewe nn anapenda na asivyovipenda then a link na mwenzi wake kama wanacope at least by 60%...
Ok ma opinion is that if u r married 4 da sake of wealth ur digging ur own sorowful grave... Wanadamu tuna hulka za ajabu sana kwenye maisha yetu ya kilasiku tunamsahau hadi muumba wetu kwa kukumbatia mambo ya dunia. Hakuna maana halisi ya ndoa zinazoitwa takatifu kwa watu wengi siku hizi wala...
Angalia mabadiliko ya tabia nchi linganisha na msururu wa mafanikio ya wanasiasa wanapojisifia kuwa wamewezesha ujenzi wa madarasa kadhaa, zahanati, majengo kadhaa ya maofisi, Upanuzi/ukuaji wa shughuli za kilimo, ujanzi wa miundombinu kama barabara N.k shughuli hizi zote na nyingzinazolingana...
tuitane kila majina ndugu zangu but ukweli uko palepale kuwa haka kamchezo kapo kuna kipindi niliwahi sikia kuwa wanaue wahudhurie leba pale wake zao wanapojifungua nilihofu kwa kuona kuwa ndoa nyingi zingeingia mushkeli kwani mume hapewi tigo but mke anashindwa kupush kwani muscles zimelegea...
Ok sisy zidi kuuomba muweza wa yote atakufanyia njia pasipo na njia, atakupa mume pale utakapoona hakuna mume. lkn let me share with u this experience u'll hardly find ur future husband with at least 70% qualities u desire but once u find 1 with more than 50% of qualities ur desiring opt him...
Ndugu zangu suala hili lipo kuna washkaji ambao walikuwa wanautumia mchezo huo kabla mashori hawajaolewa baada ya kuolewa na watu wengine hutoka nje kuwatafuta masela wapige tigo kwani inakuwa vigumu kuitroduce hiyo ishu kwa waume zao believe me i have seen it in more than 3 couples which u may...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.