Search results

  1. elmatadorkruz

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    kwanini dunia ni flat?? :kwasababu kwenye nembo ya UN imechorwa flat :kwa sababu hamna picha ya dunia ikiwa duara :kwa sababu ingekua duara na speed yake hii maji yangemwagika kuna conspiracy afu kuna stupidity yaan mtu una kaa kwenye keyboard unaandika izo ndo strong points za kutetea...
  2. elmatadorkruz

    Je, ni kweli tumeumbwa kwa Udongo(Mavumbi)?

    Hu ni Humus?? elimu yako umeipatia wapi kaka yangu au ndo ile ya kwenye vitabu vya dini!! elimu ya wachunga kondoo [emoji23] [emoji23]
  3. elmatadorkruz

    Je, ni kweli tumeumbwa kwa Udongo(Mavumbi)?

    moron ata ukiitwa ignorant bado halistahili...you are just moron cant find the proper word
  4. elmatadorkruz

    Hidden History: Baada ya Musa kukimbia Misri, aliishi kwanza Afrika akawa Mfalme kwa miaka 40.

    Jua likasimama na mwezi ukatulia....thats statement alone inatosha kutambua waliocompose ivo vitabu walikua na uelewa mdogo sana wa solar system yetu achilia mbali ulimwengu kwa ujumla..........n its in 21st century bado kuna watu wanavitumia na kua proud
  5. elmatadorkruz

    Uchawi upo wakuu

    watu wa marketing mpo kazini [emoji23][emoji23]
  6. elmatadorkruz

    Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

    it will be the end of religion. Human beings once existed without religion and after religion there will be other forms to control people thats all
  7. elmatadorkruz

    Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

    vitabu vya dini vimekulemea kichwani ukichanganya na urojo unaopiga kila siku huezi experience proof yoyote ndo utaelewa za kuletewa!....tusichoshane #urojoeffects Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
  8. elmatadorkruz

    Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

    acha kufananisha science na upuuzi.....uelewa wako bado mdogo sana Sent using Jamii Forums mobile app
  9. elmatadorkruz

    Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

    kutokuielewa kwako science haimaanishi inamapungufu katika hilo eneo na science inaendelea ku evolve ndo maana kila siku vitu vipya hugunduliwa na science pia hiyo hiyo hubadilika when proven wrong swali lako limeegemea wapi?? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. elmatadorkruz

    Sayari 4 Mstari Mmoja - Na Mwezi Unazikaribia Angani

    yalikuepo sema hukuaga informed
  11. elmatadorkruz

    Je, huu ni ukweli uliofichwa kwa miaka mingi?

    It's 2018 in the Era of Information n technology kuna watu bdo wanaamini kabisa maandishi yasio na facts.......anyways mje kutuelezea na wake wa Cain na Seth walipotokea au walimlala mama yao pia kupata watoto
  12. elmatadorkruz

    Rais Kikwete alikuwa anaajiri kila mwaka, yeye alitoa wapi hela?!

    Au sio??.....Inajengwa kwa pesa za ndani?? Tatizo lenu mnajua kila mtu Tz ni mbulula karopoke hii trash mtaani kwenu uko
Back
Top Bottom