Nina kazi kidogo kesho Tar. 14.1.2023 Jumamosi nahitaji mwanasheria aniandalie mkataba konki wa Mauziano ya Shamba/ Kiwanja Jiji la Arusha.
Kama kuna mwana JF mwana sheria basi anisaidie tutapoozana ili mradi siku ziende.
Naomba uje inbox uniambie bei yako ikiwezekana nikupe advance uanze kazi...
Naona hawa jamaa Azam TV wameongeza Channel mpya kwenye series yao ya sports HD na kuleta AZAM sports 3 HD
Hii ni good move kwenye Tasnia ya TV hapa Tanzania. Sasa tuna channel 5 za HD. Kwa maana hiyo Azam ataweza rusha hata Match 5 za HD
TV nyingine kama Clouds, TVE na Wasafi sijui wanasubiri...
Wakuu habari za jioni. Hongereni na pasaka
Namiliki Gari Toyota Rav 4 A.K.A Miss Tz Ndugu yake na Vanguard ya 2005
Nilipata Shida ya pump kufa toka hapo hii gari imekua changamoto kwangu simply nimeichukia sana natamani hata ninunue ka premio ka kusogeza siku
Nimeshanunua pampu kama mbili...
Wakuu nahitaji hicho kifaa kwa ajili ya kuboost Mtandao wa simu eneo nililopo kwani mitandao yote ipo chini sana.
Nikipata kichosave angalau Kipenyo cha mita 500 itakuwa poa sana.
Kwa yeyote anayeuza au anajua kinapatikana wapi nahitaji sana.
Chief-Mkwawa Naomba msaada wako wa kitaalam
Wakuu natafuta Android TV box kama unayo au unajua mahali inauzwa
SIFA
Iwe na 4k
HDMI out
Optical/ Toslink ( Muhimu sana)
Issuport Dolby na DTS sound
Issuport MKV, MP4, AVI na common codec
Iwe na USB inayosoma Ext. HDD
Pesa ipo mfuko wa shati, kama unaweza fanya hata udalali niipate
Asanteni.
Hawa mabwana wametuinua sana. Dada zetu sikuhizi wanapiga mizinga ya kununuliwa Mossimo, na sio viatu vya bei kubwa
Kwa trend ya sasa, Wanawake nadhani nusu yao hapa Tanzania wanavaa Mosimo
Na huko mtaani kila mdada ni Mjasiliamali wa kuuza Mossimo
Vinawapendeza sana Hivi viatu licha ya kuwa...
Ebwanaaa kuna folen balaaaaa. Nimekaa kwenye folen kwa masaa 4. nipo maeneo ya mbezi mwisho. Nilikua na safari ya Arusha usiku huu sasa inabidi nilale tuu Nikimbizane na tochi asubuhi.
Sijui shida ipo wapi
Zamani kidogo kabla ya mwaka 2010 niliwahi sikia tukio la Mgambo wapatao 5+ (Sina uhakika) Walifariki dunia kwa kula chakula inachosemekana kilikua na sumu.
Hii story niliisikia mara kadhaa mtaani na hivyo sina taarifa kamili.
******Story******
Kama utakumbuka matukio ya miaka ya nyuma ya mama...
Hivi karibuni Apple watatoa Update ya IoS 13.5 ambayo itaruhusu kufungua simu kwa FaceID hata kwa mtu aliyevaa barakoa. Hii ni kutokana na janga hili la corona ambapo maelekezo Mengi ya kitabibu yanataka mtu avae barakoa/ Musk wakati wote.
Changamoto kubwa imekuwa ni kufungua simu au programu...
Naomba msaada wa (Computer Networking)
Kuna Computer Desktop 4, kuna network Switch, UTP cables na USB broadband modem dongle.
Nahitaji kuziunganisha hizi PC zote ili zipate internet kwa kutumia moderm ambayo itakuwa kwenye computer mojawapo.
Naomba msaada wataalamu wa mtandao, Wazee wa ma...
Mimi ni Mteja wa benk hii kwa muda sasa. Na pia ni mteja wa benki nyingine nchi.
Hawa CRDB wanakera sana. Receipt zao hazioneshi maandishi kabisa. Nimezunguka ATM nyingi sana tena Za mikoa tofauti zaidi ya 10 tatizo ni lilelile.
Ikumbukwe Gharama ya Receipt ni Tsh. 1000 + kwenye kila muamala...
Hivi hapa Tanzania kuna Shamba la wafu la kueleweka?????
Hizi nchi zinazoendelea zina shida sana. Sio elimu, Nishati, Huduma za afya, Chakula Hata Ustaarabu tu ni Changamoto.
Sidhani hapa Tanzania Kwenye Halmashauri za Majiji, Mikoa, Wilaya Miji, Miji midogo na hata Vijiji kama kuna Maeneo...
BBM ni mtandao maarufu wa kijamii wa kwanza ulioanzinishwa mwaka 2005 kabla ya mitandao maarufu ya kwanza kama vile Watsapp ,facebook,instagram na mingineyo kuundwa.
Blackberry Messenger maarufu kama BBM si neno geni masikioni mwa wakongwe kwenye utumiaji wa mitandao ya kijamii hasa kwa wale...
Wakuu vipi, Natafuta Dealer au Duka wanalouza vifaa vya Generators za Perkins.
Shida yangu hasa ni kupata Filters Za oil na diesel, casing zake na Hata ijiwezekana Cap zake nahitaji
Enzi hiizo wakati bado kijana naishi getto, alinipigia Sim "Dem" wangu akaniambia beby Jmosi nakuja kukufulia Nguo.
Doooh nilisema hii ni neema hasa ukizingatia wanaume wengi ni mtihani suala la kufua nguo.
Nikaenda kucheki kwanza hizo nguo chafu zina hali gani. Dooooo hizo nguo zilikuwa ni...
Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 6, 8, 9, na 10 Aprili, 2019 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Wasailiwa wanaoitwa kwenye...
Hizi ndizo shule Tanzania ambazo zinafundisha kwa kutumia mitaala ya Nje ya nchi.
Kwa kifupi hizi ndizo International Schools. Hizo nyingine zote ni ENGLISH MEDIUM SCHOOLS ukiacha hizi Tulizo soma sisi za Elimu Bure
Siyakudumisa Nkosi Yezulu
Sielewagi kwann hawa jamaa huwa hawaweki Radio kwenye simu zao hasa S series na NOTE series ukiacha zile za nyuma sana na hizi S10 na S10 × Ambazo zina radio Hence Radio yake huku kwetu inweza leta interfearence na watumiaji wengine wa Masafa maana hawapo kwenye Band range ya FM ya nchini kwetu...
Naanza kwa kucheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Good morning Bazalwane
Huwa nafurahi sana pale ninapopiga story na Mchuchu ambaye sio Demu wangu actually,
Mida ya kuagana utasikia anasema
" MSALIMIE WIFIIII"
Hii kauli wanaume wengi huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.